Naogopa kumlea mwanangu Dar es salaam

Naogopa kumlea mwanangu Dar es salaam

Chuga kwenye ulezi wa watoto ni hatari,
Sio maneo yote, na zingatia element ya mtoto kujitambua. Kuna mitaa kama kwa mrefu, sakina ipo amani sana na wahuni hamna, kumetulia.

Hata mitaa ya Unga ltd na Ngarenaro siku hizi imestaarabika.

Watu wanashindwa kuelewa vizuri, Arusha ya miaka ya nyuma ndo ilikuwa hatari kuliko sasahivi.
 
Foreigners wengi wapo Arusha kuliko Dar, kwahiyo ushajichanganya tayari,
Lol arusha hawapo wengi, arusha wengi wanapita kutalii, ni wachache sana sana sana wanaobaki tena kwa kazi

Dar tofauti na arusha foreigners wengi wanabaki. Balozi kibao zipo dar, so do ceos na wataalam wengi kutoka nje

Arusha is small sana kwa dar likija suala la foreigners wengi waowekaakazi permanent na kuish hapo
 
Sio maneo yote, na zingatia element ya mtoto kujitambua. Kuna mitaa kama kwa mrefu, sakina ipo amani sana na wahuni hamna, kumetulia.

Hata mitaa ya Unga ltd na Ngarenaro siku hizi imestaarabika.

Watu wanashindwa kuelewa vizuri, Arusha ya miaka ya nyuma ndo ilikuwa hatari kuliko sasahivi.
Bado lipo tatizo huko, tena mnavyozidi kulikataa ndipo linazidi kuwa kubwa
 
Huko vichochoroni kwenu ndo kumeua ndoto nyingi za watoto na vinaja
 
Mtoto kuharibika au kukosa maadili ni sehemu yoyote, Dsm Huwa mnaisingizia tuu, Ila mikoani watoto ni wakorofi, wajeuri wengine wezi vibaka tofauti na hata hapa dsm

Labda dsm niseme baadhi ya mitaa ile mnayoiyona ya kiswahili kwamba ndo watoto hawana malezi,

Nafahamu familia moja ipo sinza yule dada hakuna ambacho habugii,

Mwingine yupo mikocheni, na ni familia standard kabisa,

Malezi na maadili ya mwanao kama mzazi simama kwenye ukweli wako akivuka 18+ acha dunia ikamfundishe
 
Kila sehemu tanzania hii kuna watoto wameharibika kuanzia wizi, ushoga, ukorofi, unywaji wa pombe, uvutaji sigara, banging etc
Vitu vingine ni kurithi tu hata ukimpeleka akalelewe kanisani au msikitini kama na kuharibika ataharibikia tu.
 
Kwa sisi wanawake tunaona mengi sana mitaan tofaut na wanaume wanashida kwenye shughuli za kazi
Mitaan haswa changanyikeni ni kubaya nikisema kubaya ni kubaya haswa sehem zenye utulivu kunaweza kua kubaya sema Kuna privacy huku vichochoron mambo hadharan nakuunga mkono mikoa ya pwan sio pazur kulea mtoto haswa wa kiume narudia wakiume
Panaogopesha Kwa malezi na sio wote waliojaliwa maisha mazur kwamba ukapange nyumba mbezi au mikochen halizetu zinataka kupanga mbagala
Nasema haya Kwa ushahidi sio kuhadithiwa Hali mbaya sana mitaan
 
Chenye unaogopa Dar now kipo kila sehm tz. Mchawi hakimbiwi ndg uendako utamkuta mchaw zaid ya huyo wa Daslamu
 
Back
Top Bottom