Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 10,230
- 18,331
Nilikuwa naliombea taifa udugu wangu πππππππ
Sema na wewe umepotea udugu wangu hivi ulikuwa wapi au ndo ulifungiwa na mumama
Nilikuwa naliombea taifa udugu wangu πππππππ
Sema na wewe umepotea udugu wangu hivi ulikuwa wapi au ndo ulifungiwa na mumama
-Unaogopa nini?Kitu ninachokiogopa katika haya maisha ya Dunian ni kwamb kumlea mwanangu Dar es salaam wallah Naogopa
πππYou have no idea, dar es salaam japokuwa wanamandeleo sana and all those things likija sauala lakitabia we all konw ndio kuzim pale
Maendeleo yanakuja at the cost of social changes , the more mji unatembelewa na wageni the more unabadilika na ku absorb tabia mbaya from different places
Kitu ninachokiogopa katika haya maisha ya Dunian ni kwamb kumlea mwanangu Dar es salaam wallah Naogopa
Sasa mbona watoto wengi wa vigogo ni mapunga?
Kwani nani kasema wototo waliosoma fedha?Hizo ni hear say TU..
Hakuna Data.
Kwamba watoto wote waliosoma Fedha International School ni Mapunga? Think twice.