Naogopa kumlea mwanangu Dar es salaam

Naogopa kumlea mwanangu Dar es salaam

Ukiwa na Pesa, Hakuna shida
Ukiwa huja hela, Hata mtoto akikulia Moshi ni rahisi kua Mjinga mjinga tu
 
Bora daresalam kuliko kule kwa wenye meno ya kuungua,
Aaaah! Umenisema mimi kabisa hapo kwenye meno. Kila jino langu lina ngeu halafu rangi ya gold. Ila uziri yamekuwa kama kombati ya jeshi nyeupe na gold!

Amlete Arusha mji wa waungwana, atakuwa na style poa sana ya kuongea!
 
Aaaah! Umenisema mimi kabisa hapo kwenye meno. Kila jino langu lina ngeu halafu rangi ya gold. Ila uziri yamekuwa kama kombati ya jeshi nyeupe na gold!

Amlete Arusha mji wa waungwana, atakuwa na style poa sana ya kuongea!
Mkoa mzima umepinda km viatu vya wadudu, atafurahi bora dar baadhi ya mitaa tupo kama mkoa tu
 
Bora daresalam kuliko kule kwa wenye meno ya kuungua,
You have no idea, dar es salaam japokuwa wanamandeleo sana and all those things likija sauala lakitabia we all konw ndio kuzim pale

Maendeleo yanakuja at the cost of social changes , the more mji unatembelewa na wageni the more unabadilika na ku absorb tabia mbaya from different places
 
You have no idea, dar es salaam japokuwa wanamandeleo sana and all those things likija sauala lakitabia we all konw ndio kuzim pale

Maendeleo yanakuja at the cost of social changes , the more mji unatembelewa na wageni the more unabadilika na ku absorb tabia mbaya from different places
Tena huko nilikotaja hadi majirani zao wa karibu ni hatari kwa malezi ya watoto, dar ni baadhi ya mitaa na sio mikubwa kihivyo
 
Mkoa mzima umepinda km viatu vya wadudu, atafurahi bora dar baadhi ya mitaa tupo kama mkoa tu
Kumlea mtoto kimayai mayai sio kumsaidia kutamfanya awe fragile huko ukubwani.

Mfano wangu mimi nimeishi Arusha from age zero mpaka nafika miaka 21, hayo mambo ya wadudu tumeishi nao, watu wanavuta bangi pembeni yako, mamirungi etc, ila kitu kimoja, mtoto kuharibikiwa ni yeye mwenyewe kutokujitambua.

Na kama mtoto ni kuharibikiwa, ataharibika tu hata akiwa sehemu ambayo ni full amani mda wote.
 
Kumlea mtoto kimayai mayai sio kumsaidia kutamfanya awe fragile huko ukubwani.

Mfano wangu mimi nimeishi Arusha from age zero mpaka nafika miaka 21, hayo mambo ya wadudu tumeishi nao, watu wanavuta bangi pembeni yako, mamirungi etc, ila kitu kimoja, mtoto kuharibikiwa ni yeye mwenyewe kutokujitambua.

Na kama mtoto ni kuharibikiwa, ataharibika tu hata akiwa sehemu ambayo ni full amani mda wote.
Chuga kwenye ulezi wa watoto ni hatari,
 
watoto wadogo wa dar mbona wananizamu sana hasa wanafunzi? mimi naona watoto wa mikoani nimajeuri sana wengi wao mana hatakutusalimia sisi kaka zao ambao hatuna ndevu hawawezi 25-

na wapenda sana wadogo zangu wa dar wana nizani ya hali yajuu
 
Tena huko nilikotaja hadi majirani zao wa karibu ni hatari kwa malezi ya watoto, dar ni baadhi ya mitaa na sio mikubwa kihivyo
Dar ni baadhi ya mitaa? You have no idea
As i said, mkoa ambao unakuwa na foreigners wengi ndio unaopokea tabia nyingi hata zile chafu

Kukaa karibu na mpaka si kwamba mji ndio unakuwa influnced na nchi jirani.

Dar imeharibika zaid kitabia, why ? Wageni wengi mno
 
Dar ni baadhi ya mitaa? You have no idea
As i said, mkoa ambao unakuwa na foreigners wengi ndio unaopokea tabia nyingi hata zile chafu

Kukaa karibu na mpaka si kwamba mji ndio unakuwa influnced na nchi jirani.

Dar imeharibika zaid kitabia, why ? Wageni wengi mno
Foreigners wengi wapo Arusha kuliko Dar, kwahiyo ushajichanganya tayari,
 
Back
Top Bottom