Naogopa kufanya mapenzi

Bujibuji naweza kucheka hadi nichanganyikiwe,
kweli na ujanja wako hali ndiyo hii
na unasema eti mwaJ analalamika, kumbe unaona aibu ku do
mtafute Madame B ana tatizo kama lako mkayamalize
mje na majibu.
Mi ndio maana sikupendagi hivyo hivyo Mamndenyi, badala ya kunuhurumia wewe unataka kuanza kunicheka???
 
Last edited by a moderator:
yaan mashine imesimama halafu unaogopa? duh watu wengine bhana
 
Hahahahahaa! Bujibuji, inanibidi kwa niaba ya wamama na wadada wa MMU nije nikukague ili niliete majibu hapa Jamvini, Loh! Umenifanya nistuke kidogo, na hao watoto wanafanana na nani?
 
Sio lazima upige shoo...

Mwachie huyo aliye baba wa hao watoto wanne akirudi aendeleze kukamua hyo Papucchi ya wife jina wako
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…