Nina mpenz wangu nampenda sana tu na huwa najitahidi kadri ya uwezo wangu kumtimizia mahitaji yake kila ninapopata pesa.
Kitu kinachonichosha ni kwamba kila ninapokutana nae kwaajiri ya kugegedana lazima nimpe pesa ya kutosha hata kama nilimpatia siku moja kabla ya mechi.
Mimi kumpa pesa sio lazima nimgegede, huwa naona ni moja ya majukumu yangu kumuhudumia mpenzi wangu ili aweze kukidhi mahitaji yake lakini kwake yeye imekua tofauti kidogo kwamba kila ninapohitaji kumgegeda lazima nimlipe, yani amekua kama anajiuza vile.
Imefikia kipindi naogopa hata kukutana nae na huwa nashindwa sasa kumtofautisha na wanawake wanaojiuza mana wanawake wanaojiuza tunajua kwamba wako after money, bila pesa hawezi kukupa mapenzi.
Je nimueleze ukweli kwamba hii tabia yake siipendi ili ajirekebishe au niachane nae tu nitafute mwingine ??