Nani zaidi!

Nani zaidi!

Tuweekeni na la mtoto pendwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu hapa
6c9556bf8011b55e6be225e3fa9384a9.jpg


sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
Bring more photos so that we can compare effectively
 
Uko vizuri kwenye selection mkuu Keyon.

Hatari sana, huo mzigo akikutangulia mbele anaweza akakupa lift kwa lazima ukasahau unapoenda.

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Hehehe!!
Ebana hao ni warembo maarufu bongo,,yetu macho tu.

Wanawake wapo kwa ajili ya Wanaume na si wanaume kwa ajili ya Wanawake..

Wanaoweza wanaingia uwanjani wengine wanabaki kama washangiliaji na wachambuzi.
 
Hehehe!!
Ebana hao ni warembo maarufu bongo,,yetu macho tu.

Wanawake wapo kwa ajili ya Wanaume na si wanaume kwa ajili ya Wanawake..

Wanaoweza wanaingia uwanjani wengine wanabaki kama washangiliaji na wachambuzi.
Hawa warembo wetu na kweli wapo kwa ajiri yetu, ila siku hizi wana msemo wao wanakwambia bongo bahati mbaya!

Yaani akiangalia mtikisiko wa tako lake anajiona yeye ni wa hongo ya milioni 10 wakati huo hapa bongo wakumpa hizo milioni 10 ni wa kutafuta kwa kupiga ramli.

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
 
Hawa warembo wetu na kweli wapo kwa ajiri yetu, ila siku hizi wana msemo wao wanakwambia bongo bahati mbaya!

Yaani akiangalia mtikisiko wa tako lake anajiona yeye ni wa hongo ya milioni 10 wakati huo hapa bongo wakumpa hizo milioni 10 ni wa kutafuta kwa kupiga ramli.

sent from tekno ya shilingi elfu saba na mia tano.
Wacha wachezewe,wakija kushituka washakuwa vibibi.
 
Back
Top Bottom