Nani zaidi kati ya huyu mbelgiji wa jela au huyu wa matibabu?

TADPOLE

JF-Expert Member
Nov 18, 2015
2,808
9,058
NANI ZAIDI, JE NI YULE WA ''JELA YA ULAYA" AU HUYU WA "MATIBABU YA ULAYA"?
Tuendelee kujifunza,......
huyu pichani ni Pierre Jaques Bemba, Huyu ndugu yetu wa Ki-Afrika alikaa nje Ulaya muda mrefu eti kwamba ana kesi huko the Hague.(ICC), tukaambiwa yupo Jela....Uchaguzi Mkuu Wa Congo ulivyokaribia akaachiwa na ICC hiyo hiyo eti kwamba hana hatia yoyote ile.
Na ndivyo ilivyo...Pierre Bemba akatangaza kurejea Congo DRC akitokea Ubeligiji alipokuwa amehifadhiwa yeye na Familia yake.. tena akatua Congo na ndege Binafsi ya Kukodi huku akiwa na lundo la Mabodigadi wa kizungu alioambatana nao toka Ubeligiji..Bemba akatangaza Rasmi kugombea Urais Wa Nchi hiyo kupitia Muungano Wa Vyama vya Upinzani,.. Na ikumbukwe Bemba Kabla ya kutiwa hatiani huko Ulaya aliwahi kuwa Kiongozi Wa Waasi nchini Congo.
Lakini Baada ya kurejea Nchini Congo na kuchukua Form ya kugombea Uraisi Tume ya Uchaguzi Nchini humo iliengua Jina la Pierre Bemba kwa Madai kwamba ni Mahalifu anayehusika na Rushwa, na alihonga Mashahidi ICC
Bemba hakukata tamaa alikata Rufaa kupinga kuenguliwa kwenye Kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa Urais nchini Congo DRC lakini kwa Mara nyingine akajikuta akiangukia Komwe mara baada ya Mahakama ya juu kabisa ya kikatiba huko DRC Kusema kwamba kiongozi huyo wa upinzani anayeishi Uhamishoni Ubeligiji hana sifa ya kuwa rais katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
Na baada ya Jina la Bemba kugonga Mwamba na kukataliwa kupitishwa na Tume ya Uchaguzi huko Congo DRC Ghafla tena ICC ikamdaka Bemba na inamrudisha Jela Ulaya na ikamuhukumu kifungo cha Miezi 12 Jela na faini Dollar 350,000 huku ikisema kwamba Bemba ambaye ni Kiongozi wa Upinzani Nchini Congo (DRC) amekutwa na Hatia ya kuhonga Mashahidi katika Kesi ya jinai ya Uhalifu wa kivita iliyokuwa inamkabili Mahakamani hapo...hapa sasa ndio vituko vya ICC na Wazungu, hivi angepitishwa kugombea Wangemdaka tena?
#Note :Huko Ubeligiji ndipo yalipo Makao Makuu ya Umoja wa Ulaya, hapo ndipo hupitishwa Sera zote juu ya Ulaya...Sera zote juu ya Mipango yao kwa afrika....Kifupi Bemba aliiva katika Mafunzo huko Ubeligiji chini ya Kivuli cha "JELA ULAYA" na karejeshwa Congo akiwa ameiva tena karibia na Uchaguzi,..lakini akashtukiwa...k
eep in mind, huyu wa kwetu hapa aliye Mafunzoni Ubeligiji chini ya Kivuli cha "MATIBABU ULAYA" tunaambiwa kwamba kupona na kurudi kwake hapa pia kutaendana na Ratiba ya kukaribiana na Uchaguzi wa 2020, kwamba atakuwa amepona tukio la Risasi 38 kwa operation 21 zilizofanyika ndani ya miezi minne....
Tuendelee Kugonga Mtori......mimi sio mnazi saana wa siasa ila nimewawashia indicator tu..
Naipenda nchi yangu sitaki iwe pango la mabepari kama DRC CONGO
49174368_2026233180786466_6587966098140823552_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alert yako ingekuwa na mashiko kama hadi sasa serikali yetu ingekuwa na watu hata wawili tu wanaoshutumiwa kumshambulia huyo jamaa....
Vinginevyo leta ushahidi wa mawazo ili tuamini usemacho
 
NANI ZAIDI, JE NI YULE WA ''JELA YA ULAYA" AU HUYU WA "MATIBABU YA ULAYA"?
Tuendelee kujifunza,......
huyu pichani ni Pierre Jaques Bemba, Huyu ndugu yetu wa Ki-Afrika alikaa nje Ulaya muda mrefu eti kwamba ana kesi huko the Hague.(ICC), tukaambiwa yupo Jela....Uchaguzi Mkuu Wa Congo ulivyokaribia akaachiwa na ICC hiyo hiyo eti kwamba hana hatia yoyote ile.
Na ndivyo ilivyo...Pierre Bemba akatangaza kurejea Congo DRC akitokea Ubeligiji alipokuwa amehifadhiwa yeye na Familia yake.. tena akatua Congo na ndege Binafsi ya Kukodi huku akiwa na lundo la Mabodigadi wa kizungu alioambatana nao toka Ubeligiji..Bemba akatangaza Rasmi kugombea Urais Wa Nchi hiyo kupitia Muungano Wa Vyama vya Upinzani,.. Na ikumbukwe Bemba Kabla ya kutiwa hatiani huko Ulaya aliwahi kuwa Kiongozi Wa Waasi nchini Congo.
Lakini Baada ya kurejea Nchini Congo na kuchukua Form ya kugombea Uraisi Tume ya Uchaguzi Nchini humo iliengua Jina la Pierre Bemba kwa Madai kwamba ni Mahalifu anayehusika na Rushwa, na alihonga Mashahidi ICC
Bemba hakukata tamaa alikata Rufaa kupinga kuenguliwa kwenye Kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa Urais nchini Congo DRC lakini kwa Mara nyingine akajikuta akiangukia Komwe mara baada ya Mahakama ya juu kabisa ya kikatiba huko DRC Kusema kwamba kiongozi huyo wa upinzani anayeishi Uhamishoni Ubeligiji hana sifa ya kuwa rais katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
Na baada ya Jina la Bemba kugonga Mwamba na kukataliwa kupitishwa na Tume ya Uchaguzi huko Congo DRC Ghafla tena ICC ikamdaka Bemba na inamrudisha Jela Ulaya na ikamuhukumu kifungo cha Miezi 12 Jela na faini Dollar 350,000 huku ikisema kwamba Bemba ambaye ni Kiongozi wa Upinzani Nchini Congo (DRC) amekutwa na Hatia ya kuhonga Mashahidi katika Kesi ya jinai ya Uhalifu wa kivita iliyokuwa inamkabili Mahakamani hapo...hapa sasa ndio vituko vya ICC na Wazungu, hivi angepitishwa kugombea Wangemdaka tena?
#Note :Huko Ubeligiji ndipo yalipo Makao Makuu ya Umoja wa Ulaya, hapo ndipo hupitishwa Sera zote juu ya Ulaya...Sera zote juu ya Mipango yao kwa afrika....Kifupi Bemba aliiva katika Mafunzo huko Ubeligiji chini ya Kivuli cha "JELA ULAYA" na karejeshwa Congo akiwa ameiva tena karibia na Uchaguzi,..lakini akashtukiwa...k
eep in mind, huyu wa kwetu hapa aliye Mafunzoni Ubeligiji chini ya Kivuli cha "MATIBABU ULAYA" tunaambiwa kwamba kupona na kurudi kwake hapa pia kutaendana na Ratiba ya kukaribiana na Uchaguzi wa 2020, kwamba atakuwa amepona tukio la Risasi 38 kwa operation 21 zilizofanyika ndani ya miezi minne....
Tuendelee Kugonga Mtori......mimi sio mnazi saana wa siasa ila nimewawashia indicator tu..
Naipenda nchi yangu sitaki iwe pango la mabepari kama DRC CONGOView attachment 980566

Sent using Jamii Forums mobile app
Lissu raisi ajae
Harakati za LISSU alianza zamani sana na ndie alieshinikiza serikali kuheshimu mchango wa wachimbaji wadogo na hadi leo matunda yake yanaonekana.

Nakumbuka vema sana hili sakata. Nyumba ya Lissu ilipekuliwa sana akiwa nje ya nchi kikazi. Walikuwa wanatafuta mkanda wa video ambao mhe. Mrema alisema anao, wa matingatinga yalivyokuwa nayafukia wachimbaji wadogo wadogo wa madini. Wakili Lissu ni mpiganaji wa siku nyingi sana.

Huyu jamaa ametoka mbali sana ni kichwa sana na ameanza kuwatetea wanyonge long time

Lissu akasaidia pia kushinda kesi za wananchi wanyonge 366 katika kipindi cha miezi minne tu. Hawa ni wananchi waliokuwa wakiishi pembezoni mwa migodi kabla ya kuswekwa ndani kwa kosa la kuvamia migodi hiyo. Lissu aliwatetea bure wananchi hawa mafukara na baada ya ushindi wa kesi hizo akatamka-"Uwekezaji umegeuka kuwa unyama Tanzania". Lissu akaonekana ni mtu asiye na uzalendo na taifa lake kwa kuwasema vibaya wawekezaji ambao serikali ilikuwaikidai walikuwa wakiliingizia taifa mapato makubwa. Hata hivyo, kwa wananchi hao wanyonge, Lissu alionekana ni Mfalme.

Lissu aliendelea na jitihada zake kuwasaidia wananchi waliokuwa wakinyanyasika migodini huku akiacha wateja wenye fedha nyingi Dar Es Salaam. Kwa Lissu, hakuna kitu kinamuuma moyoni mwake kama akiona mnyonge ana haki lakini anaonewa. Lissu kamwe hawezi kukaa kimya kuona hali hiyo ikiendelea.

Jitihada hizi zikamfanya Lissu azidi kukorofishana na serikali mara kwa mara. Serikali ikamwita ni mchochezi anaechochea wananchi kuwachukia wawekezaji wa Barrick ambao serikali ilikuwa ikidai ni wawekezaji wazuri waliokuwa wakiliingizia taifa pato kubwa.

Lissu amekuwa mstari wa mbele kwenye harakati za kutetea sekta ya madini nchini. Kwa miongo zaidi ya miwili amekuwa akipambana na wawekezaji wazungu waliokuwa wakikingiwa kifua na serikali ya awamu ya tatu na ya nne na kuonekana yeye si mzalendo.

Alikuwa ni mmoja wa waliopinga hadharani na kwenye maandiko yake, sheria ya madini ya mwaka 1998 na ya 2010 kwa hoja kwamba zinawatajirisha wawekezaji wazungu na kutuachia watanzania mashimo tu na umaskini mkubwa wakati Mungu aliibariki nchi hii kwa kuipa madini mengi.

Hoja hizi zilikuwa zikikejeriwa na wabunge wa CCM ambao walikuwa wakiipitisha miswada hii kutokana na wingi wao bungeni. Aidha, Lissu alipinga vikali kupitishwa na bunge sheria zote za madini kwa hati ya dharura mwaka 2015 na 2017.

Licha ya jitihada hizi kubwa za kuwapigania wananchi wanyonge na maskini huku wengi akiwatetea mahakamani bure na kupambana vikali na wawekezaji wa makampuni ya madini ambayo yeye miaka yote amekuwa akiyaita ni ya wezi wanaotuibia madini yetu na kunyanyasa wananchi migodini, Lissu anaonekana kwenye macho ya baadhi ya watu kwamba si mzalendo bali ni "kibaraka anaetumiwa na wazungu asieitakia mema nchi yetu". 2020 huyu jamaa anatufaa sana.
 
..mtoa mada huoni kwamba wako waTz wana vigezo vya kukamatwa na icc kama ilivyotokea kwa Bemba?
 
NANI ZAIDI, JE NI YULE WA ''JELA YA ULAYA" AU HUYU WA "MATIBABU YA ULAYA"?
Tuendelee kujifunza,......
huyu pichani ni Pierre Jaques Bemba, Huyu ndugu yetu wa Ki-Afrika alikaa nje Ulaya muda mrefu eti kwamba ana kesi huko the Hague.(ICC), tukaambiwa yupo Jela....Uchaguzi Mkuu Wa Congo ulivyokaribia akaachiwa na ICC hiyo hiyo eti kwamba hana hatia yoyote ile.
Na ndivyo ilivyo...Pierre Bemba akatangaza kurejea Congo DRC akitokea Ubeligiji alipokuwa amehifadhiwa yeye na Familia yake.. tena akatua Congo na ndege Binafsi ya Kukodi huku akiwa na lundo la Mabodigadi wa kizungu alioambatana nao toka Ubeligiji..Bemba akatangaza Rasmi kugombea Urais Wa Nchi hiyo kupitia Muungano Wa Vyama vya Upinzani,.. Na ikumbukwe Bemba Kabla ya kutiwa hatiani huko Ulaya aliwahi kuwa Kiongozi Wa Waasi nchini Congo.
Lakini Baada ya kurejea Nchini Congo na kuchukua Form ya kugombea Uraisi Tume ya Uchaguzi Nchini humo iliengua Jina la Pierre Bemba kwa Madai kwamba ni Mahalifu anayehusika na Rushwa, na alihonga Mashahidi ICC
Bemba hakukata tamaa alikata Rufaa kupinga kuenguliwa kwenye Kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa Urais nchini Congo DRC lakini kwa Mara nyingine akajikuta akiangukia Komwe mara baada ya Mahakama ya juu kabisa ya kikatiba huko DRC Kusema kwamba kiongozi huyo wa upinzani anayeishi Uhamishoni Ubeligiji hana sifa ya kuwa rais katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
Na baada ya Jina la Bemba kugonga Mwamba na kukataliwa kupitishwa na Tume ya Uchaguzi huko Congo DRC Ghafla tena ICC ikamdaka Bemba na inamrudisha Jela Ulaya na ikamuhukumu kifungo cha Miezi 12 Jela na faini Dollar 350,000 huku ikisema kwamba Bemba ambaye ni Kiongozi wa Upinzani Nchini Congo (DRC) amekutwa na Hatia ya kuhonga Mashahidi katika Kesi ya jinai ya Uhalifu wa kivita iliyokuwa inamkabili Mahakamani hapo...hapa sasa ndio vituko vya ICC na Wazungu, hivi angepitishwa kugombea Wangemdaka tena?
#Note :Huko Ubeligiji ndipo yalipo Makao Makuu ya Umoja wa Ulaya, hapo ndipo hupitishwa Sera zote juu ya Ulaya...Sera zote juu ya Mipango yao kwa afrika....Kifupi Bemba aliiva katika Mafunzo huko Ubeligiji chini ya Kivuli cha "JELA ULAYA" na karejeshwa Congo akiwa ameiva tena karibia na Uchaguzi,..lakini akashtukiwa...k
eep in mind, huyu wa kwetu hapa aliye Mafunzoni Ubeligiji chini ya Kivuli cha "MATIBABU ULAYA" tunaambiwa kwamba kupona na kurudi kwake hapa pia kutaendana na Ratiba ya kukaribiana na Uchaguzi wa 2020, kwamba atakuwa amepona tukio la Risasi 38 kwa operation 21 zilizofanyika ndani ya miezi minne....
Tuendelee Kugonga Mtori......mimi sio mnazi saana wa siasa ila nimewawashia indicator tu..
Naipenda nchi yangu sitaki iwe pango la mabepari kama DRC CONGOView attachment 980566

Sent using Jamii Forums mobile app
hao ni vibaraka wa wazungu ,
 
alianza kujitengenezea Picha kwamba kuna gari linamfatilia(serikali imfatilie yeye nani kama una kesi utapelekwa mahakamani na dhamana hutopata kama mwenyekiti wake hadi sikukuu analia ndani).

Baada ya hapo kajipiga risasi ili apate tiketi ya kwendea ubelgiji(angalia namna alivyochukuliwa tokea dodoma,dar es salaam,Kenya kisha ubelgiji)

Angalizo,hizi tamaa binafsi za matumbo ya wanasiasa uchwala huu si muda wake.

Rais anapokataa kwenda huko ulaya anajua kabisa huko ni biashara ya ukibaraka Tu.

Wenye kumshauri Hutu kijana wafanye hivyo mapema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NANI ZAIDI, JE NI YULE WA ''JELA YA ULAYA" AU HUYU WA "MATIBABU YA ULAYA"?
Tuendelee kujifunza,......
huyu pichani ni Pierre Jaques Bemba, Huyu ndugu yetu wa Ki-Afrika alikaa nje Ulaya muda mrefu eti kwamba ana kesi huko the Hague.(ICC), tukaambiwa yupo Jela....Uchaguzi Mkuu Wa Congo ulivyokaribia akaachiwa na ICC hiyo hiyo eti kwamba hana hatia yoyote ile.
Na ndivyo ilivyo...Pierre Bemba akatangaza kurejea Congo DRC akitokea Ubeligiji alipokuwa amehifadhiwa yeye na Familia yake.. tena akatua Congo na ndege Binafsi ya Kukodi huku akiwa na lundo la Mabodigadi wa kizungu alioambatana nao toka Ubeligiji..Bemba akatangaza Rasmi kugombea Urais Wa Nchi hiyo kupitia Muungano Wa Vyama vya Upinzani,.. Na ikumbukwe Bemba Kabla ya kutiwa hatiani huko Ulaya aliwahi kuwa Kiongozi Wa Waasi nchini Congo.
Lakini Baada ya kurejea Nchini Congo na kuchukua Form ya kugombea Uraisi Tume ya Uchaguzi Nchini humo iliengua Jina la Pierre Bemba kwa Madai kwamba ni Mahalifu anayehusika na Rushwa, na alihonga Mashahidi ICC
Bemba hakukata tamaa alikata Rufaa kupinga kuenguliwa kwenye Kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa Urais nchini Congo DRC lakini kwa Mara nyingine akajikuta akiangukia Komwe mara baada ya Mahakama ya juu kabisa ya kikatiba huko DRC Kusema kwamba kiongozi huyo wa upinzani anayeishi Uhamishoni Ubeligiji hana sifa ya kuwa rais katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
Na baada ya Jina la Bemba kugonga Mwamba na kukataliwa kupitishwa na Tume ya Uchaguzi huko Congo DRC Ghafla tena ICC ikamdaka Bemba na inamrudisha Jela Ulaya na ikamuhukumu kifungo cha Miezi 12 Jela na faini Dollar 350,000 huku ikisema kwamba Bemba ambaye ni Kiongozi wa Upinzani Nchini Congo (DRC) amekutwa na Hatia ya kuhonga Mashahidi katika Kesi ya jinai ya Uhalifu wa kivita iliyokuwa inamkabili Mahakamani hapo...hapa sasa ndio vituko vya ICC na Wazungu, hivi angepitishwa kugombea Wangemdaka tena?
#Note :Huko Ubeligiji ndipo yalipo Makao Makuu ya Umoja wa Ulaya, hapo ndipo hupitishwa Sera zote juu ya Ulaya...Sera zote juu ya Mipango yao kwa afrika....Kifupi Bemba aliiva katika Mafunzo huko Ubeligiji chini ya Kivuli cha "JELA ULAYA" na karejeshwa Congo akiwa ameiva tena karibia na Uchaguzi,..lakini akashtukiwa...k
eep in mind, huyu wa kwetu hapa aliye Mafunzoni Ubeligiji chini ya Kivuli cha "MATIBABU ULAYA" tunaambiwa kwamba kupona na kurudi kwake hapa pia kutaendana na Ratiba ya kukaribiana na Uchaguzi wa 2020, kwamba atakuwa amepona tukio la Risasi 38 kwa operation 21 zilizofanyika ndani ya miezi minne....
Tuendelee Kugonga Mtori......mimi sio mnazi saana wa siasa ila nimewawashia indicator tu..
Naipenda nchi yangu sitaki iwe pango la mabepari kama DRC CONGOView attachment 980566

Sent using Jamii Forums mobile app
Basi sawa akirudi akachukua fomu mahakama yenu ya juu imzuie kugombea kisha mabepari wamrudishe kwenye matibabu, sawa?
 
Ulitolewa Kwa tundu la choo
alianza kujitengenezea Picha kwamba kuna gari linamfatilia(serikali imfatilie yeye nani kama una kesi utapelekwa mahakamani na dhamana hutopata kama mwenyekiti wake hadi sikukuu analia ndani).

Baada ya hapo kajipiga risasi ili apate tiketi ya kwendea ubelgiji(angalia namna alivyochukuliwa tokea dodoma,dar es salaam,Kenya kisha ubelgiji)

Angalizo,hizi tamaa binafsi za matumbo ya wanasiasa uchwala huu si muda wake.

Rais anapokataa kwenda huko ulaya anajua kabisa huko ni biashara ya ukibaraka Tu.

Wenye kumshauri Hutu kijana wafanye hivyo mapema.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upeo wako wa kisiasa ni mdogo Sana. Huwezi kupembua pumba na Michele.
NANI ZAIDI, JE NI YULE WA ''JELA YA ULAYA" AU HUYU WA "MATIBABU YA ULAYA"?
Tuendelee kujifunza,......
huyu pichani ni Pierre Jaques Bemba, Huyu ndugu yetu wa Ki-Afrika alikaa nje Ulaya muda mrefu eti kwamba ana kesi huko the Hague.(ICC), tukaambiwa yupo Jela....Uchaguzi Mkuu Wa Congo ulivyokaribia akaachiwa na ICC hiyo hiyo eti kwamba hana hatia yoyote ile.
Na ndivyo ilivyo...Pierre Bemba akatangaza kurejea Congo DRC akitokea Ubeligiji alipokuwa amehifadhiwa yeye na Familia yake.. tena akatua Congo na ndege Binafsi ya Kukodi huku akiwa na lundo la Mabodigadi wa kizungu alioambatana nao toka Ubeligiji..Bemba akatangaza Rasmi kugombea Urais Wa Nchi hiyo kupitia Muungano Wa Vyama vya Upinzani,.. Na ikumbukwe Bemba Kabla ya kutiwa hatiani huko Ulaya aliwahi kuwa Kiongozi Wa Waasi nchini Congo.
Lakini Baada ya kurejea Nchini Congo na kuchukua Form ya kugombea Uraisi Tume ya Uchaguzi Nchini humo iliengua Jina la Pierre Bemba kwa Madai kwamba ni Mahalifu anayehusika na Rushwa, na alihonga Mashahidi ICC
Bemba hakukata tamaa alikata Rufaa kupinga kuenguliwa kwenye Kinyang'anyiro cha Uchaguzi wa Urais nchini Congo DRC lakini kwa Mara nyingine akajikuta akiangukia Komwe mara baada ya Mahakama ya juu kabisa ya kikatiba huko DRC Kusema kwamba kiongozi huyo wa upinzani anayeishi Uhamishoni Ubeligiji hana sifa ya kuwa rais katika Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo.
Na baada ya Jina la Bemba kugonga Mwamba na kukataliwa kupitishwa na Tume ya Uchaguzi huko Congo DRC Ghafla tena ICC ikamdaka Bemba na inamrudisha Jela Ulaya na ikamuhukumu kifungo cha Miezi 12 Jela na faini Dollar 350,000 huku ikisema kwamba Bemba ambaye ni Kiongozi wa Upinzani Nchini Congo (DRC) amekutwa na Hatia ya kuhonga Mashahidi katika Kesi ya jinai ya Uhalifu wa kivita iliyokuwa inamkabili Mahakamani hapo...hapa sasa ndio vituko vya ICC na Wazungu, hivi angepitishwa kugombea Wangemdaka tena?
#Note :Huko Ubeligiji ndipo yalipo Makao Makuu ya Umoja wa Ulaya, hapo ndipo hupitishwa Sera zote juu ya Ulaya...Sera zote juu ya Mipango yao kwa afrika....Kifupi Bemba aliiva katika Mafunzo huko Ubeligiji chini ya Kivuli cha "JELA ULAYA" na karejeshwa Congo akiwa ameiva tena karibia na Uchaguzi,..lakini akashtukiwa...k
eep in mind, huyu wa kwetu hapa aliye Mafunzoni Ubeligiji chini ya Kivuli cha "MATIBABU ULAYA" tunaambiwa kwamba kupona na kurudi kwake hapa pia kutaendana na Ratiba ya kukaribiana na Uchaguzi wa 2020, kwamba atakuwa amepona tukio la Risasi 38 kwa operation 21 zilizofanyika ndani ya miezi minne....
Tuendelee Kugonga Mtori......mimi sio mnazi saana wa siasa ila nimewawashia indicator tu..
Naipenda nchi yangu sitaki iwe pango la mabepari kama DRC CONGOView attachment 980566

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
alianza kujitengenezea Picha kwamba kuna gari linamfatilia(serikali imfatilie yeye nani kama una kesi utapelekwa mahakamani na dhamana hutopata kama mwenyekiti wake hadi sikukuu analia ndani).

Baada ya hapo kajipiga risasi ili apate tiketi ya kwendea ubelgiji(angalia namna alivyochukuliwa tokea dodoma,dar es salaam,Kenya kisha ubelgiji)

Angalizo,hizi tamaa binafsi za matumbo ya wanasiasa uchwala huu si muda wake.

Rais anapokataa kwenda huko ulaya anajua kabisa huko ni biashara ya ukibaraka Tu.

Wenye kumshauri Hutu kijana wafanye hivyo mapema.

Sent using Jamii Forums mobile app
Vibaraka siyo hawa wanaoingia mikataba mibovu ya kuuza madini yetu? Bila aibu wanategemea kupigwa jeki ktk bajeti ya kuendesha nchi,halafu baadaye wanawaita tena mabeberu,hiyo ni akili tope?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom