Rutunga M
JF-Expert Member
- Mar 16, 2009
- 1,769
- 1,393
Mimi ni mpenzi wa kufuatilia habari za kimataifa kupitia vyombo hivyo,lakini nimegundua kuwa kituo cha aljazeera cha mashhatiki ya kati ni kiboko kwa vyombo vya habari vya kimataifa katika habari hasa za kipekee(exlussive) na za breaking news .
hata hivyo inaonesha kuwa waandishi wa aljazeera ni wataalamu zaidi katika habari za vita,majanga na mambo kama hayo mfano kama waandishi JAMESB BAYS,MOHAMED ADO,KAMAU HAIDA ,KAMAU SANTAMARIA na wengine wengi.
Kwa kweli aljazeera wako juu,au wenzangu mnasemaje
hata hivyo inaonesha kuwa waandishi wa aljazeera ni wataalamu zaidi katika habari za vita,majanga na mambo kama hayo mfano kama waandishi JAMESB BAYS,MOHAMED ADO,KAMAU HAIDA ,KAMAU SANTAMARIA na wengine wengi.
Kwa kweli aljazeera wako juu,au wenzangu mnasemaje