Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,603
- 29,747
Pamoja na kwamba ameshakabidhi ofisi ya Itikadi na Uenezi, lakini bado ndugu Humphrey Polepole ameonekana akifanya siasa za wazi wazi kwa kivuli cha ofisi hiyo yake ya zamani.
Hapa juzi kupitia akaunti yake ta Twitter alikuwa Babati katika ziara ya kutembelea mashina.
Swali ninalojiuliza japa, je ofisi imemuelemea Shaka mpaka aombe msaada kwa Polepole au na mimi kama mwanachama wa kawaida naruhusiwa kufanya ziara kama.afanyavyo Polepole,
Nani yupo nyuma yake?
Je mtafaruku wake na akina Bulembo ni kututoa kwenye reli tusijadili masuala nyeti ya kitaifa?
Nina mashaka
Hapa juzi kupitia akaunti yake ta Twitter alikuwa Babati katika ziara ya kutembelea mashina.
Swali ninalojiuliza japa, je ofisi imemuelemea Shaka mpaka aombe msaada kwa Polepole au na mimi kama mwanachama wa kawaida naruhusiwa kufanya ziara kama.afanyavyo Polepole,
Nani yupo nyuma yake?
Je mtafaruku wake na akina Bulembo ni kututoa kwenye reli tusijadili masuala nyeti ya kitaifa?
Nina mashaka
Kwa maoni yangu nahisi Slow slow katengenezwa na 'Wahuni' bila ya mwenyewe kujijua ili wao 'Wahuni' wajisogeze zaid kwa 'Bi Mkubwa'
Sasa hivi ngoma imegeuzwa geuzwa na walio geuzwa wamekubali bila ya kujijua kuonekana kama wanampinga 'Bi Mkubwa'
Halafu Wahuni wanajitokeza kama Watetezi wa Mama wakitaka '…tumuache Mama achape kazi…kuna kikundi kimejipanga kumkwamisha Mama…hatutakubali wamkwamishe…'
Wahuni wana kawaida ya kuwa na Mamluki kwny Makundi pinzani ili waweze kutengeneza hoja
Wahuni walikuwepo Chama Kikuu cha Upinzani wakatumia nguvu ya akili kuwapangia nani ni fisadi na nani si fisadi na wakatumika 8 years bila ya kujijua
Wakatumika tena kung'oa Mawaziri ambao Faza wa Wahuni alikuwa kawachoka
Wahuni walitumia tena akili kumchafua Zero kwa Mr Clean ahadi akaonekana 'hana maana' yeyote
Kwny heka heka za 2005 Wahuni walihakikisha Campain Managers wa kambi hasimu wote ni 'Watu wao'
Wahuni walimtengeneza 'niguse ninuke' hadi Mwamba akajikuta kamteua Mke wa 'Mao tze tung' kuwa Mbunge ili kupooza hasira kwa kuwa wote Mke wa Mao na Niguse ninuke wanatoka Mkoa mmoja
Naamini kwny 'Push gang' pia washachomekea watu wao kutengeneza agenda ama za kumtisha Bi Mkubwa au kujisogez 'zaid' ili kumsaidia Viroboto wasimbughudhi
Wenu Muhuni Mstaafu
Efukepunye Pohamba