Nani yupo nyuma ya figisu za kubadili mihula ya urais Tanzania?

Bunge limewekwa chini ya Serikali, Serikali imewekwa chini ya Serikali ya Rwanda..

Wakuu Wa idara zetu za ulinzi na usalama wamekuwa waoga.. Wastaafu wamekuwa waoga kupita maelezo.

Ila lawama zote namtupia Kikwete kwa kutufanyoa haya..
Kikwete Do something Mkuu

Hahahaa! Leo mnataka mliyemwita "Dhaifu" afanyekitu??...kweli vyuma vimekaza.
 
Wewe zero kwanini usirudi shuleni ukasoma upate japo uwezo wa kuelewa mada na kuchangia kwa weledi?!

Mambo ya nchi hayajadiliwi kwa upuuzi na taarabu unazoandika humu, bali uelewa wa mambo hususani ya uongozi bora na utawala wa Sheria na Katiba.

Unarukia na kuharibu post za watu wanaojadili mambo ya nchi yao bila kuweka vyama! Wewe mbumbumbu kila kitu unarukia kujadili watu na kutetea upoyoyo bila misingi ya hoja!

Empty headed, illiterate idiot.
That's who she is, stupidity is her carrier. Pathetic
 
Yaani kila siku mnaandika yale yale tu...aafu tushawaambioa wenye akili tukisoma paragraph ya kwanza tu tunajua nyie ni akina nani...Huu mwaka mtaimba nyimbo zote aisee...ila beat ni ileile..tz kwanza
Huwezi kujiita mwenye akili then usione hoja ya mtoa mada. Mambo mawili, mosi akili umefungia kabatini kichwa kiko empty. Pili unafiki, kujipendekeza, ubinafsi, roho mbaya na dharau kwa watanzania vimepofusha ufahamu wako. Time will tell
 
Huwezi kujiita mwenye akili then usione hoja ya mtoa mada. Mambo mawili, mosi akili umefungia kabatini kichwa kiko empty. Pili unafiki, kujipendekeza, ubinafsi, roho mbaya na dharau kwa watanzania vimepofusha ufahamu wako. Time will tell

Si mlishaambiwa ili uwe na akili ni lazma usadiki maneno ya CDM tehe tehe tehe...
 
Alishajikatalia mwenyewe hataki kukaa madarakani zaidi ya miaka10.pia alishajisemea kazi hii ya Uraisi ni ngumu sana.

Lakini tungezungumizia ile katiba ya awali ya walioba.
 
Umelitende haki Jukwaa,Hongera sana.Jamaa anatafuta Uwaziri,hizi nafasi za Uwaziri hawezi kuacha watu salama
 
Hii ya MSD na TBS Warwanda kuingia idara zote muhimu na kufanya kazi maalumu naomba elezea ndugu.

Nchi inauzwa vijana bado wamelala.
 
Jinsi ulivyoanza na maneno machafu juu yake na kwa kuboronga lugha ya watu juu.. leo mnaoitwa nshomila ngoja nikusome kwanza.. ila ID ingine usisahau kutuambia.. vizuri umekuja kihivi tho..

Wewe kwa kweli ujisikitikie.. hauna cha tofauti ulichoandika kipya na wenzako walioandika kabla humu kushutumu kwa kukosa hoja na kuburuzana kutafuta huruma tu. Kimoja umetukanaaaaaaaa kupita wa upinzani.. eeeeh

Eti wanatuhamisha.. hayo majibu hujapewa uandike lini uliwauliza na kivipi na ilikuwaje...
Umekaaa umeamka na mihasira yako imekujaa unakuja kumwaga upupwu...
Tena unaumia roho hadi kumtukana mbunge huyo.. wewe wa humo humo nao na unatumika na wanaoumia walio na tamaa pia ingawa unajileta kiujanja kama mpinzani.. hauna sera wala nguvu za kuiba kama kabla na umeshtuka kuona barua yake.. yaani eeeeh tangu ujiunge jana umekaaa masaaa unasoma kuja kuandika kama wapinzani kumbe pwaaaa... kusaka ya kucopy ambayo ulikuwa huyafuatiliii.. unaogopa kuendelea kupokea mnyoosho wa JPM. Na kujua wengi ma MP awamu ya mwisho hii.. nafasi wapewe wapya sasa.. mnalo huko kwenye chama chenu tawala... mzoeee tu JPM ndio kafika.

Endelea kusaga meno.. na kuisoma namba pia.

Usijiite tena mwananchi wa kawaida.. bali jiite mwana wa CCM na mesenja juu ya walio nyuma yako.

Sawa mesenja wa Makonda.
 
sasa naelewa kuwa hii issue ya kuongeza siku ikulu imeratibiwa na magu mwenywe na ndio maaana walitaka kumuua Lissu ili waendelee na agenda zao
Magu nilikuwa nakuona unataka kuitoa hii nchi upeleke kwenye nchi ya ahadi. Kwakweli umeniangusha sana!!
 
Wakimaliza kubadilisha na kuwa miaka saba muhula wa pili na wa mwisho watakuja kubadilisha na kusema hakuna ukomo wa mihula miwili kwa upande wa Raisi .... yani hii nchi kuna watu ni selfish had wanakera
Aliye bahatika kubadili katiba ni Mbowe tu, sasa ni Mwenyekiti wa Kudumu.
 
Nkamia ni msaliti namba moja wa katiba ya nchi yetu
Hivi kwa nini wasijitokeze wabunge wengine nao wapeleke muswada binafsi wa: kupunguza miaka ya kukaa madarakani hadi 4 na mwingine kupunguza madaraka ya rais? Tuone Spika atafanyaje hapo.
 
IMG-20170915-WA0001.jpg
 
Rwanda walianza na muda kutoka 5 hadi 7 . Alipoona inakwisha akasema hakuna terms za kugombea ...anafunga wapinzani na kushinda yeye kila uchaguzi
Na hili ndio yunaelekea huko.
Hili limefanywa kwa ujanja mkubwa. Linaends na muda wa wabunge.
Huu ni mtego kwa wabunge wao wa ccm ...
Hawatajali maslahi ya nchi wataweka maslahi yao ya kuendelea na ubunge hadi 2022
Yaani ikipita ndio miaka mingine 5 wapo mjengoni. Walivo waroho basi hili limepita....
Kilichobaki ni maandamano tu kushinikiza bunge lisi sikilize hoja hio ..ila wakisikiliza kwa spika huyu tuliye naye basi wananchi imekula kweyu.
Na labda mahakama Kuu nayo inaweza kuifuta hio sheria kama haina maslahi na taifa na katiba mpya ipo kabatini sasa si wakati wa kutia viraka
 
hii ndiyo shida ya kuchagua wabunge vilaza..mtu aina ya nkamia ni kama kondom tu..ni mtu wa kutumika tu.
 
Mmmh kazi ipo kwa hiz akili aisee
Kaz mnayo nyie nyumbu na akili zenu, me Nina akili kukushinda, naweza pambanua u dikteta UPI unafaa kati ya Magufuli wa Tz na Mbowe wa cdm na mafisadi yake.

Bora dikteta anaekemea ufisadi kuliko dikteta anaekula sahani moja na mafisadi.

Shangaa akili zako zinazoambiwa huyu fisadi Leo, kesho unaambiwa huyu si fisadi na unafuata tu kama manyumbu yanavofuatana kwa Mkumbo
 
Back
Top Bottom