mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,843
Siku hizi watu wanapotea.naogopa vya bure.
ya kwanza man npo na demu wangu mzunguKaunta ya kwanza au ya pili mkuu
Kweli umeniotea mkuu, naaangalia asernal wanajitahidi kumfurahisha wengerSasa ndo mambo gani Umeshuka Kaunta na suti yako unaelekea upande ule wa mechi? Afu miwani yako meusi umeificha wapi?
Tutakutana mkuuCalabash aiseeee hiyo Bar ni shidaaaa haichuji tu weekend ndo Balaa mie nakuja Mida ya SAA tatu.Jana palifurika kama kawaida
Sijakuotea Mkuu. Nipo nakuangalia tu.Kweli umeniotea mkuu, naaangalia asernal wanajitahidi kumfurahisha wenger
Sion dem mzungu manya kwanza man npo na demu wangu mzungu
Salute mkuuNipo Kwanza kwa Mama Kamche Pub Calabash Mida Mida kidogo
nije na boda boda utalipia?Wakuu,
Jioni njema. Ndauli? Wamisha khinehe, mwadila, mapembelo,aslam aleykum etc. I hooe wote tuko poa,
Kama kuna mkuu yeyote as we speaking he/she is currently here at the calabash kama yuko anapata kilaji,marumbusi au kuchek game ya arsenal vs stock, njoo hapa kaunta upate ofa ya kinywaji kutoka kwa donlucchese 'The McLaren Theorem guy'
Aaah wahudumu wanazingua mkuu, nimeagiza Cote Du Marisule Champagne, the most expensive wine in the world eti ye kaenda kuniagizia mtori. Si mapuuza haya?Niko nyuma yako mkuu mbona unaongea sanaaa au vimeshapanda kichwani?
Kwa wapi mkuu wa toharaMkuu mwambie mhudumu akuongezew kinywaji nitalipa. Niko hapa pembeni nacheki mechi ya Arsenal
ahahaaa tuma picha mkuuSasa Mkuu nimekuona lkn afadhali tu ungevaa Suruali, miguu midogo mno. Haikupendezi ukivaa Pensi. Alafu pensi yenyewe inakubana mapaja na ukikaa inapanda juu kama taiti.
wewe jitokeze ununuliwe biaSasa ndo mambo gani Umeshuka Kaunta na suti yako unaelekea upande ule wa mechi? Afu miwani yako meusi umeificha wapi?
Hii Bar haijawahi kusoma number eti..?Calabash aiseeee hiyo Bar ni shidaaaa haichuji tu weekend ndo Balaa mie nakuja Mida ya SAA tatu.Jana palifurika kama kawaida