Mingoi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 11,715
- 6,126
Serikali kivuli inahusika piaTopic inawahusu mawaziri wa serikali. Be serious
Serikali kivuli inahusika piaTopic inawahusu mawaziri wa serikali. Be serious
Topic inawahusu mawaziri wa serikali. Be serious
Wana JF, mwaka 2012 ndio unaishia ukingoni hivyo basi ningependa kila mmoja atoe maoni yake kuhusiana na utendaji kazi wa mawaziri wetu. Tufanye evaluation kwa kipindi chote cha mwaka 2012. Unafikiri ni nani anastahili kuwa waziri bora wa mwaka?. Si vibaya pia kama utamtaja na naibu waziri bora wa mwaka 2012. Karibuni.
Katiba pia inawatambua mawaziri vivuli!
1. mwakyembe waziri wa uchukuzi
2. balozi kaghasheki waziri wa maliasili na utalii
3 prof sospeter muhongo waziri wa nishati na madini
Mkuu mada yangu inawahusu mawaziri wa serikali iliyoko madarakani. Haiwahusu mawaziri vivuli.