Headless Person
JF-Expert Member
- Nov 30, 2012
- 307
- 58
Wana JF, mwaka 2012 ndio unaishia ukingoni hivyo basi ningependa kila mmoja atoe maoni yake kuhusiana na utendaji kazi wa mawaziri wetu. Tufanye evaluation kwa kipindi chote cha mwaka 2012. Unafikiri ni nani anastahili kuwa waziri bora wa mwaka?. Si vibaya pia kama utamtaja na naibu waziri bora wa mwaka 2012. Karibuni.