Nani wameiba Sh480 bilioni Hazina?

Nani wameiba Sh480 bilioni Hazina?

wenye akili wajuulize hili swali kwanini serikali imekaa kimya haswa idara ya mawasiliano ikulu,wizara ya fedha
 
nchi nyingi dunian zilizoingia kwny vita za wenyewe kwa wenye ni kwasababu ya rushwa na matumizi mabaya ya fedha za serikali,naionea huruma nchi yetu kwasababu huu wizi unaofanywa na baazi ya viongozi na watumishi wa nchi unapoteza imani kwa wananchi kwa serikali yao na nchi yao kwa ujumla.serikali isiangalie chama iangalie faida ya wote na siyo chama fulani kwasababu siku kikinuka ndio basi hakuna ningejua.hata ukimbia mbele ujue wewe ndio chazo cha yote yanayotokea.mimi binafisi inaniuma kuona watu wanapoteza iman na nchi yao (HAKUNA UZALENDO KABISA SASA TANZANIA)hata vita ikitokea watu wanawezakataa kupingania nchi yao na kukimbilia nchi ya jiran kama wakimbiz,viongozi mnaharibu nchi yetu mnaharibu.
 
Wameiba CCM,

Business as usual,mpaka pale wa-Tanganyika watakapojitambua na na kuwaambia maccm kwamba sasa basi!mambo kama haya yatakoma.vinginevyo hizo ndio zinatumika kuwanunulia robo kilo ya sukari,t-shirt,kanga na kofia then mvumi na mkuranga wanakenua mpaka gego la mwisho linaonekana.Inasikitisha sana.
 
tahari ni wewe na mke wako.usi generalize pimbi wewe

Halafu unajiona mzima mwenyewe kumbe wewe ndo mkuu wetu wa Matahira.Sisi sote nchini ni Mapimbi tu wanaojiona werevu wenyewe ndo kama nyie mkipewa nafasi ya kufanya kazi muhimu ya Taifa kitu cha kwanza mnawaza matumbo yenu yaani hizo degree zenu zilikuwa zinajaza Magimbi na Ugali tu kichwani badala ya Elimu
 
Business as usual,mpaka pale wa-Tanganyika watakapojitambua na na kuwaambia maccm kwamba sasa basi!mambo kama haya yatakoma.vinginevyo hizo ndio zinatumika kuwanunulia robo kilo ya sukari,t-shirt,kanga na kofia then mvumi na mkuranga wanakenua mpaka gego la mwisho linaonekana.Inasikitisha sana.

Hakuna Umasikini mbaya kama umaskini wa akili.

Mtu anakuibia Million moja. Anachukua Laki 9 anasunda ndani, kisha anachukua laki moja katika hizo anakununulia Khanga, Kofia, T-shirt na Pombe na kukuambia yeye ndio rafiki mzuri, kisha kwa umbumbu wako unamkubalia.
 
Back
Top Bottom