Nani wameiba Sh480 bilioni Hazina?

Nani wameiba Sh480 bilioni Hazina?

Magazeti yanapaswa kufanya uchunguzi wa kina kabla ya kuja na habari kama hizi ama waandishi wanaoandika mambo kama haya wawe na uproffesional wa kitu wanchoandika. Huvi vitu vinakuwa hoja za wakaguzi sio maana yake pesa zimeibiwa inatokana na kuchelewa kupata au kutokuwepo hati za matumizi wakati wa ukaguzi kutokana na sababu mbalimbali. Mojawapo ni pesa zinzotoka mwisho wa mwaka wakati wa kufunga mahesabu. Na si kila hoja ya ukaguzi ni wizi. Hotokea mara nyingi matumizi kuthibitishwa baada ya nyaraka husika kupatikana.

mmmmh unajaribu kusema nn hapo....kama pesa imetumika na stakabadhi haionekan maana yake nn?
Hata kama pesa inachelewechwa kupelekwa.....hcho hakihalalishi misuse of govt fund
 
inawezekana kabsa. bse hata familia ya Dr mgimwa walikir waz kutojua chanzo cha hcho kifo......srkl yenye mchwa mkali na viongoz dhaifu kuwah kutokea nchin tutegemee danadana na kunyamaza kweny hli jambo
lakini ipo siku ukweli utabaki pale pale na malipo ni hapahapa duniani kama ni kweli mchwa wachache waliamua kuutoa uhai wa huyu mh kwa ajili ya kulinda uwizi wao basi na wao hukumu yao yaja
 
Mwisho wa siku tutaambiwa Marehemu( waziri wa fedha) ndiye aliyeidhinisha wizi wa pesa hizo! nakumbuka ilivyofanyika wakati wa Barali! ni kweli kwani uchaguzi si unakalibia? picha za wagombea, matangazo, kofia, tishet, kanga, nk. vitatoka wapi tusipopiga pesa hazina? wafanye wanavyoweza lakini ukweli siku watanzania tukiingia barabarani wakati tumejipaka rangi hakuna atakayeweza kutuzuia! hii ni dunia! kunawatu wanaona wao ni mungu na wako mbinguni!
 
Mungu tunakushukuru kwa kutupa nchi hii nzur ya Tanzania. naamini sio mpango wako sisi watoto wako tuishi kwa tabu katika nchi bali ni hila za zule muovu shetani na maajent wake aliowaweka kweny serikali hii. Baba ninaomba nishuhudie ile siku utakapo waseta hawa maadui zetu chini ya miguu yetu kwan wamekuwa kikwazo kikubwa sana kwa maendeleo yetu na taifa letu.Amina
 
acha utani bana ina maana hata mwnyekiti wao ni mwizi?

...haina shaka' samaki mmoja akioza, wote watakuwa wameoza, na wale walio karibu watanuka shombo ya kuoza...!
"inaniuma sana, kwani nusu ya kamshahara kangu upelekwa hazina kila mwezi, alafu unakuja kusikia mijitu imekwapua mabilioni ya pesa kwenye mfuko unaotokana na jasho letu walala hoi"
 
USHAURI WA BURE KWENU CCM
Muda uliobaki ni mdogo sana kwenu CCM kuweza kujirekebisha. Embu tumieni huu muda uliobaki kujenga MAGEREZA ya kisasa ya nyota tano. Ni ushauri tu.

Tulikupenda sana CCM, Lakini MAFISADI wamekupenda zaidi. R.I.P CCM
 
acha utani bana ina maana hata mwnyekiti wao ni mwizi?

Kikwete tokea amvalishe Daudi Balali ngozi ya kihindi niliondoa imani yangu kwake kabisa. Kikwete mwizi Lowassa mwizi Membe mwizi yaani ccm chama cha vibaka
 
[SUP]Wachangiaji lazima wawe wachache,,,watachangia vipi wakati wazazi wao ndio wamekwapua,,,,,,,,,,,,na mzee mwenyewe akija kuchangia humu lazima atatukana [/SUP]
 
Kama mwigulu ana miezi tu wizarani! Je mwaka! Sasa za uchaguzi si zimetimia waache hizo chenchi basi?
 
Kikwete tokea amvalishe Daudi Balali ngozi ya kihindi niliondoa imani yangu kwake kabisa. Kikwete mwizi Lowassa mwizi Membe mwizi yaani ccm chama cha vibaka
Ngozi ya kihindi hebu fafanua mkuu
 
Ndio maana tunadaiwa laki sita sita kila mtanzaania.... Na jamaa mjengoni nao hawakubal. Nchi hii kazi kwelikweli...
 
kwenye uzi kama huu yale mamisukule ya lumumba hayanusu katu,yenyewe yanakua kwenye viuzi vya kuinanga chadema na viongoz wake,wap ritz,simiyu yetu,msalani,lukos,utaifa kwanza,faizafox,et all kujeni huku kuna jambo la kitaifa.
 
kwenye uzi kama huu yale mamisukule ya lumumba hayanusi katu,yenyewe yanakua kwenye viuzi vya kuinanga chadema na viongoz wake,wap ritz,simiyu yetu,msalani,lukos,utaifa kwanza,faizafox,et all kujeni huku kuna jambo la kitaifa.
 
Watanzania ni Matahira tungekuwa tuna akili timamu serikali nzima ingewajibika kwa hili.Acha waibe tu kama unaongoza Matahira ufanyaje sasa
 
huwezi kuyaona mamisukule kweny uzi kama huu! team buku7_Fc wanawaadaa wana jf
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom