Nani walioandika na kuthibitisha maudhui ya Quran inayotumika leo?

Nani walioandika na kuthibitisha maudhui ya Quran inayotumika leo?

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
57,243
Reaction score
90,303
Waandishi wa Quran walikuwa ni wa kina nani na baada ya uandishi wake kukamilika nani walioithibitisha kwamba maudhui yake ndio Yale yale yaliyotoka kwenye kinywa cha Muhammad bila kupotoshwa au kukosewa kwa bahati mbaya kibinasamh au kwa makusudi na waandishi wenyewe?
 
Iliandikwa Misri na kuchapishwa mwaka 1924,wasomi wa Al Azhar university ndiyo waliohusika baada ya amri ya mfalme Fuad wa Misri. Hakuna Quran ya enzi za Mohamed na wala haijawahi kuwepo.
 
Iliandikwa na maswahaba

Baada ya kufariki mtume Muhammad (saw) maswahaba walikubaliana kuikusanya Quran ili iwe kwenye maandishi

Hii ilisaidia kuihifadhi kwa urahisi na pia waandishi wake walikuwa ni wale wanaojulikana kwa Kuhifadhi vizuri Quran

Maana waliohifadhi ni wengi ila kuna wale ambao wanajulikana kwa ubora wao kwenye dini
 
Baada ya kujua Biblia huwa inafanyiwa amendment kama katiba ya nchi ili iendane na wakati unafikiri na Quran iko hivyohivyo dogo?
 
Iliandikwa na maswahaba

Baada ya kufariki mtume Muhammad (saw) maswahaba walikubaliana kuikusanya Quran ili iwe kwenye maandishi

Hii ilisaidia kuihifadhi kwa urahisi na pia waandishi wake walikuwa ni wale wanaojulikana kwa Kuhifadhi vizuri Quran

Maana waliohifadhi ni wengi ila kuna wale ambao wanajulikana kwa ubora wao kwenye dini
Walioihifadhi walihakikisha vipi wanasimulia iandakiwe kama walivyosimuliwa wao na Muhammad?
 
Walioihifadhi walihakikisha vipi wanasimulia iandakiwe kama walivyosimuliwa wao na Muhammad?
mahafidh walikuwa wengi na wengine walikuwa wameandika kipindi cha mtume kama rejea zao
Kilichofanyika hapo ni kuunganisha tu zote ziwe sehemu moja Kwahiyo ilikuwa wanafatwa wale ambao wanajulikana kwa uwezo zaidi wanaleta walipohifadhi huku wakiwanyiwa assessment maana hata hao wanaokusikiliza na kuandika nao wanaijua Kwahiyo kuandika kilichokosewa ni uongo

Nje ya mada uzuri wa Quran mpaka Mtume anafariki ilikuwa imeshatimia kutelemshwa na maswahaba wanajua hilo
 
Back
Top Bottom