Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,506
- 11,439
kumbe ndo maana mama nase analalamika kwanini kazaa na mzaramo nshajua sasa..
mambo ya binadamu hayo..
Bwahahahahhhh.
Unatafuta ugomvi na Wazaramo wa JF
kumbe ndo maana mama nase analalamika kwanini kazaa na mzaramo nshajua sasa..
mambo ya binadamu hayo..
Lara1...Itabidi niangalie je una nikishanunua ntakupangisha kwanza bure miezi 2/3 ya trailler na huo ndo utakuwa mgao wangu kwako.....Dalali ndo anaharibu maisha yangu cha juu chake inakuwa kama namtolea yeye mahari bwana.....Okay Ukikosa nyumba ya Kununua Nione Nikusaidie kutumia hizo million 200!!!!! Sio nyingi you know!!!!!!! Nimefulia afu nina hamu ya kuangusha House party la back in the days!!!!!! Ukinifadhili 3m sio mbaya!!!!!! Watanzania wote ni Ndugu!!!!
Back to topic!!!!!!
Ofcourse kwa sisi tunaojali future generations lazima ujiulize UZAE na nani ofcourse!!!!!! Mwenyewe i thank my mama for what she gave me for free!!!!!!
Mbona liko wazi.....anataka kununua nyumba..
Lol...Mbona liko wazi.....anataka kununua nyumba..
Kwa viwango vyako..... ulisahau hii...So far Hi ndio pumba ya 2013