Wazo Langu
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 1,381
- 841
Naona Mahundi na Mahita ndio walidumu muda mrefu kuliko wengine.
Sijui siri ni nini
Sijui siri ni nini
06 - 2013.
Ernest Mangu 2014 – 29/05/2017
Baba Mazoea.mimi hapa. Ngengemkeni mitomingi
Msangi ameshindwa kuongoza pale Mwanza, ataweza Taifa zima?Kuna huyu SACP Chalamila au Msangi au Mroto mmoja wao atafaa
Ila anafaa sanaGiresi Muroto.......yule amekaribia kustaafu yule
Labda Camilius Wambura
Ni wakati Tanzania wafanye kama Kenya Uganda, Rwanda IGP atoke JWTZ huko wao waligundua IGP akiwa mjeshi huwa makini zaidi
Haitokei labda yule wa kule dodomia aka mulothoMambosasa wa kanda maalum
Giresi Muroto.......yule amekaribia kustaafu yule
Labda Camilius Wambura
Yule mwenye kitambi aliyesema ccm idumu milele
Anaitwa Kenge lugolaNinja himself aka kangi wa uloga