At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
Kwa Nini Sasa Swali Kama Hili.
Afande Mroto wala hujakosea.Mzee Wa "watapata tabu sana"
Sirro namkubali sana kama ameweza kutengeneza cctv za kisasa ambazo zina uwezo wa kupiga picha za selfie huyo mtu si mchezo-mchezo
Kuna baadhi ya vitengo mwanamke hawezi kuongoza, mfano JWTZ, PT na TISS.kwakua wote waliopita ni wanaume basi tutafanya kama ilivyokuwa bungeni mwaka 2010 tutazingatia jinsia,, nafikiri itakuwa zamu ya Advera Bulimba,,
UNA UTANI NA MZEE WA NGUNGURI WEWE SHAURI MIMI NI MGENI HAPA KWENU
Ni wakati Tanzania wafanye kama Kenya Uganda, Rwanda IGP atoke JWTZ huko wao waligundua IGP akiwa mjeshi huwa makini zaidiWakuu nawasalimu katika lugha iliyojaa matumaini na hasa baada ya MO Kupatikana , ama kwa hakika utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
Cheo cha IGP kama vilivyo vyeo vingine ni dhamana ya muda mfupi tu , na kwa vile hii ni nafasi ya kuteuliwa tu , haina haja ya kusubiria miaka mitano , Mteuzi habanwi na kifungu chochote cha katiba anaweza kutengua uteuzi wakati wowote akipenda .
Sasa baada ya maelezo mazuri hapo juu , unadhani ni askari gani unayemfahamu kwa uadilifu anayefaa kuwa IGP wa Tanzania baada ya Simon Sirro ?
Ikumbukwe kwamba swali hili halina uhusiano na jambo lolote linaloendelea , nimeuliza ili kupata maoni ya wananchi ambao bila shaka wanayo haki ya kutoa maoni kwenye nchi yao.
Natanguliza shukrani .
Bila shaka mamlaka za uteuzi zimekusikiaNi wakati Tanzania wafanye kama Kenya Uganda, Rwanda IGP atoke JWTZ huko wao waligundua IGP akiwa mjeshi huwa makini zaidi
ni kweli lakini bahati mbaya Lema siyo askari , tunaomba jina la askari .Mchaga Lema, angefaa!