Nani wa kumrithi IGP - Simon Sirro?

Nani wa kumrithi IGP - Simon Sirro?

Bado kua aliyesalia mwenye uwezo wa akili wa kiwango cha chini zaidi?
 
Mshana Jr anafaa sana kwanza ana ujuzi zaidi wa ulimwengu wa giza na wa kawaida!
Anaweza kumfuata muhalifu jehanam na kumhoji!
 
Wakuu nawasalimu katika lugha iliyojaa matumaini na hasa baada ya MO Kupatikana , ama kwa hakika utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !

Cheo cha IGP kama vilivyo vyeo vingine ni dhamana ya muda mfupi tu , na kwa vile hii ni nafasi ya kuteuliwa tu , haina haja ya kusubiria miaka mitano , Mteuzi habanwi na kifungu chochote cha katiba anaweza kutengua uteuzi wakati wowote akipenda .

Sasa baada ya maelezo mazuri hapo juu , unadhani ni askari gani unayemfahamu kwa uadilifu anayefaa kuwa IGP wa Tanzania baada ya Simon Sirro ?

Ikumbukwe kwamba swali hili halina uhusiano na jambo lolote linaloendelea , nimeuliza ili kupata maoni ya wananchi ambao bila shaka wanayo haki ya kutoa maoni kwenye nchi yao.

Natanguliza shukrani .
Amrudishe Mangu, Mangu aliondolewa ili wajipange kumpiga lissu rissasi, mission failed bora arudie cheo chakr
 
Wakuu nawasalimu katika lugha iliyojaa matumaini na hasa baada ya MO Kupatikana , ama kwa hakika utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !

Cheo cha IGP kama vilivyo vyeo vingine ni dhamana ya muda mfupi tu , na kwa vile hii ni nafasi ya kuteuliwa tu , haina haja ya kusubiria miaka mitano , Mteuzi habanwi na kifungu chochote cha katiba anaweza kutengua uteuzi wakati wowote akipenda .

Sasa baada ya maelezo mazuri hapo juu , unadhani ni askari gani unayemfahamu kwa uadilifu anayefaa kuwa IGP wa Tanzania baada ya Simon Sirro ?

Ikumbukwe kwamba swali hili halina uhusiano na jambo lolote linaloendelea , nimeuliza ili kupata maoni ya wananchi ambao bila shaka wanayo haki ya kutoa maoni kwenye nchi yao.

Natanguliza shukrani .
Sirro bado yupo sana hana mrithi
 
Ni kweli Mangu aliondolewa kwa kukataa kupokea maagizo ya Jiwe yasiyo na maadili

Badala yake akamchagua mtu ambaye atapokea maagizo yake yoyote, hata Yale yasiyozingatia weledi wa kazi yao

Njia pekee ni kwa Mkulu kufanya kazi yake kwa kuzinhatia Katiba na sheria nyinginezo, ama sivyo kila IGP atakayemteua ATAPATA TABU SANA;
 
cheo ni dhamana tu mjomba .
Nidhamana ndiyo sijakataa lakini ili dhamana hiyo iishe ni mpaka yule aliyempa dhamana aone hamsaidii ndio anaweza kuifuta. Ila kwa utendaji wake bado yupo sanaaa usiwaze mrithi kabisa
 
Kwanza tujikumbushe Majina ya Wakuu wa Jeshi la Polisi tokea uhuru:

Elangwa N.Shaidi 1964 - 1970.

Hamza Azizi 1970 - 1973

Samwel H. Pundugu 1973 - 1975.

Philemon N. Mgaya 1975 - 1980.

Solomon Liani 1980 - 1984.

Harun G Mahundi 1984 - 1996.

Omary Maita 1996 - 2006

Saidi A Mwema.2006 - 2013.

Ernest Mangu 2014 – 29/05/2017.

Simon Sirro 29/05/2017 – HADI SASA.

Kwa kuwj uongozi ni kupokezana kijiti, Najiuliza ni nani ataweza kurithi viatu vya Insipekta Sirro (IJP)
Lema
 
Mbona anajulikana basi tu watu hawataki kumtaja, kwa sasa yupo makao makuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom