Nani wa kumrithi IGP - Simon Sirro?

Nani wa kumrithi IGP - Simon Sirro?

BEHOLD

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2013
Posts
5,056
Reaction score
10,729
Kwanza tujikumbushe Majina ya Wakuu wa Jeshi la Polisi tokea uhuru:

Elangwa N.Shaidi 1964 - 1970.

Hamza Azizi 1970 - 1973

Samwel H. Pundugu 1973 - 1975.

Philemon N. Mgaya 1975 - 1980.

Solomon Liani 1980 - 1984.

Harun G Mahundi 1984 - 1996.

Omary Maita 1996 - 2006

Saidi A Mwema.2006 - 2013.

Ernest Mangu 2014 – 29/05/2017.

Simon Sirro 29/05/2017 – HADI SASA.

Kwa kuwj uongozi ni kupokezana kijiti, Najiuliza ni nani ataweza kurithi viatu vya Insipekta Sirro (IJP)
 
Kwanza tujikumbushe Majina ya Wakuu wa Jeshi la Polisi tokea uhuru:

Elangwa N.Shaidi 1964 - 1970.

Hamza Azizi 1970 - 1973

Samwel H. Pundugu 1973 - 1975.

Philemon N. Mgaya 1975 - 1980.

Solomon Liani 1980 - 1984.

Harun G Mahundi 1984 - 1996.

Omary Maita 1996 - 2006

Saidi A Mwema.2006 - 2013.

Ernest Mangu 2014 – 29/05/2017.

Simon Sirro 29/05/2017 – HADI SASA.

Kwa kuwj uongozi ni kupokezana kijiti, Najiuliza ni nani ataweza kurithi viatu vya Insipekta Sirro (IJP)
Mimi
 
Kwanza tujikumbushe Majina ya Wakuu wa Jeshi la Polisi tokea uhuru:

Elangwa N.Shaidi 1964 - 1970.

Hamza Azizi 1970 - 1973

Samwel H. Pundugu 1973 - 1975.

Philemon N. Mgaya 1975 - 1980.

Solomon Liani 1980 - 1984.

Harun G Mahundi 1984 - 1996.

Omary Maita 1996 - 2006

Saidi A Mwema.2006 - 2013.

Ernest Mangu 2014 – 29/05/2017.

Simon Sirro 29/05/2017 – HADI SASA.

Kwa kuwj uongozi ni kupokezana kijiti, Najiuliza ni nani ataweza kurithi viatu vya Insipekta Sirro (IJP)
Huyu hapa..

IMG_20181019_204647_150.jpg
 
kwakua wote waliopita ni wanaume basi tutafanya kama ilivyokuwa bungeni mwaka 2010 tutazingatia jinsia,, nafikiri itakuwa zamu ya Advera Bulimba,,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom