Nani wa kumpisha kati ya hawa binadamu 4?

bibi atakumbatia mtoto akikataa kumkumbatia anapewa kiti mama na mtoto aweze kunyonyesha.


swissme
 
Hili jambo huwa linanikwaza sana,mtu anaona kabisa gari imejaa,harafu anapanda na mtoto mdogo ili aonewe huruma apishwe siti,...khaa harafu sio muda ambao usafiri ni shida....
 
Mara chache usimama hili mtu akae hasa kukiwa kuna shida ya usafiri. Lakini usafiri sio tabu mtu anaona limejaa hila kigezo chake ni umri au ulemavu anajibana tu akijuwa atapata cit tu.
 
hapo nampisha mgonjwa huku nikimsaidia kumbebea mama mgonjwa na bibi mkoba
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…