Alloyce PR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 590
- 706
Afrika buana! Hivi ni ugumu wa maisha au malezi magumu tuliyokuzwa nayo ndio umetufunga akili tusitambue jema? Bara hili pekee ndilo ambapo kiongozi anayeweka mbele maendeleo ya Taifa lake na kulinda maslahi ya wananchi wake huonekana adui, hupewa majina ya dikteta, mnywaji damu, mbaguzi, asiye na huruma, asiyetenda haki, hasa zile zinazohusiana na LGBTQ.
Ni kana kwamba kufanya yaliyo sahihi ni kosa. Je, Waafrika tumerogwa? Na kama kweli tumerogwa, aliyeiroga Afrika alishakufa au bado yupo hai, akicheka gizani?" — Alloyce, P.R.
Ni kana kwamba kufanya yaliyo sahihi ni kosa. Je, Waafrika tumerogwa? Na kama kweli tumerogwa, aliyeiroga Afrika alishakufa au bado yupo hai, akicheka gizani?" — Alloyce, P.R.