Nani wa kuchanganyikiwa? Mr a au mke wa mr b?

ANTA

Member
Nov 20, 2011
66
7
A na b ni marafiki, wote ni wanaume na wameoa. A kamtamani mke wa b. Kamtongoza, mke wa b kakubali kwa masharti ya kupewa tsh 100,000/=. Lakini a hana kitu cha kumhonga mke wa b. Kwa kuwa a na b ni marafiki. A anaamua kukopa tsh 100,000/= kutoka kwa rafiki yake b akimwambia anampeleka mtoto shule na atalipa baada ya siku 3. B alienda kuchukua hela alizomwachia mke wake atunze sh 100,000/= (note za 2000/= hamsini) ili akampe a amalize shida zake. A alipopewa hiyo hela, baada ya siku 3, a akaenda na kuzihonga kwa mke wa b na kupata mzigo. Wakati anaondoka b alimuona akiishia njiani akitoka nyumbani kwake. B alipofika akamuuliza mke wake, nani katoka hapa? Mke wake wakati akiwaza, mme wake akaendelea kumuuliza, mr a alishaleta hela yangu 100,000/=? Mke wake akashutuka sana, ikabidi aseme ndiyo. Akampatia mme wake hizo sh 100,000. Mr b akampigia a na kumwambia ahsante sana, taarifa zako nimezipata hapa home na hela nimeiona (akiimanisha salam na hela yake ameipata). Wakati mr b hajui chochote, mke wake yuko chumbani kachanganyikiwa akihisi mr a na b walimwekea mtego, na hela ni zile zile note 50 za buku mbili mbili. Mr a naye kachanganyikiwa akihisi mr b amemfahamu mchezo wake, na pengine anahisi mr b na mke wake walimwekea mtego. Huku mr b hajui lolote bali anafurahi kuona mr a karudisha hela zake kwa wakati. Je, mr a afanye nini, mke wa b aende wapi, na mr b akijua itakuwaje. Mke wa b na mr a wanaendelea kutumiana ujumbe wa matusi na wamekuwa maadui, kila mmoja anawaza kutoroka ili mr b asianzie kwake. Mh, itakuwaje?
 
Mr A na mke wa Mr B wote hawakupaswa kuchanganyikiwa kwasababu Mr B hawezi kwa njia yoyote akakubali kumtega mke wake au rafiki yake kwa kiwango cha kuacha wakafanya Mapenzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…