Nani unamkubali sana JF?

Makini Buz

Member
Joined
Jan 13, 2015
Posts
21
Reaction score
9
Naamini mko poa,

Wataje members unaowakubali sana humu jamvini kwa posti zao na thread zao pia kwa walio mahiri kuchangia.Pia na wale member wanachangia kwa busara.
 
Gang Chomba huyu fundi ananikosha mno katika kumuelezea Gaucho au Milan.Natamani apate ukurasa mmoja ----------- awe anatuletea na kutuchambulia habari za soka na uwasilishaji wake wa kipekee atapiga bao.
 
Mkuu mambo yapo poa , umepotea sana bro . Huyo jamaa ana matatizo anatuona watoto eti hana Ids nyingi. Mkuu Excel pamoja sana bro.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…