BABA TUPAC
JF-Expert Member
- Sep 30, 2015
- 1,526
- 3,801
Kwema wakuu,
Kesi ya Jamiiforums (Jamii Media) vs Oil Com ni moja ya kesi yenye mvuto wa aina yake hasa yale maswali ya mawakili wa JF na kivutio kikubwa zaidi ni majibu ya mashahidi wa upande wa mashtaka, kama una mtoto wako unauza ukampa asome kisha umuulize anaionaje hiyo kesi.
Lengo la uzi huu si kuijadili kesi iliyopo mahakamami lakini kutokana na aina ya mashtaka nimepata shauku ya kudadisi kuhusu mmliki wa hii kampuni.
Je, kampuni hii inamilikiwa na nani au kina nani? Bodi ya wakurugenzi ni wakina nani? na menejimenti ya juu kabisa ni kina nani?
Karibuni wadau
Kesi ya Jamiiforums (Jamii Media) vs Oil Com ni moja ya kesi yenye mvuto wa aina yake hasa yale maswali ya mawakili wa JF na kivutio kikubwa zaidi ni majibu ya mashahidi wa upande wa mashtaka, kama una mtoto wako unauza ukampa asome kisha umuulize anaionaje hiyo kesi.
Lengo la uzi huu si kuijadili kesi iliyopo mahakamami lakini kutokana na aina ya mashtaka nimepata shauku ya kudadisi kuhusu mmliki wa hii kampuni.
Je, kampuni hii inamilikiwa na nani au kina nani? Bodi ya wakurugenzi ni wakina nani? na menejimenti ya juu kabisa ni kina nani?
Karibuni wadau