Tiba
JF-Expert Member
- Jul 15, 2008
- 4,604
- 3,163
Tabia ya kutetea ubaguzi kwa misingi ya rangi ikome kabisa hapa JF mmiliki wa vyombo habari ana haki ya kutangaza chochote na kuacha chochote kutegemeana na muda uliopo (air time) na maslahi yake ya kibiashara pamoja na ethics za uandishi! kutokutamgaza magazeti ya mengi kati ya magazeti yote nchini siyo big deal?? who is he? mengi naye fisadi tu tena nyangumi so sijaona unachotetea hapo
Tumain,
Umetumwa na nani????? Mbona unaonekana kama vile una agenda ya siri? Usiiaibishe JF please!!!!!!
Tiba