Nani ni mfugwa kati ya hawa?

Nani ni mfugwa kati ya hawa?

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,277
Reaction score
13,920
Mmoja ni mfugwa wa rohoni na mwingine mfugwa wa kibinadamu. Ingawa kibinadamu Lissu ni mfugwa lakini roho yake ipo huru.

Wakati mwenzake kufanya kazi ya kulazimishwa moyoni hayuko huru

IMG_3883.jpeg
 
Mungu anaenda kutenda jambo kubwa tena kwa Taifa kupitia Lissu. Aliyeagiza kupigwa Risasi alikufa kwa mateso makubwa. Anayeagiza kumfunga atapata mateso makubwa mno kabla ya umauti wake.
 
Mungu anaenda kutenda jambo kubwa tena kwa Taifa kupitia Lissu. Aliyeagiza kupigwa Risasi alikufa kwa mateso makubwa. Anayeagiza kumfunga atapata mateso makubwa mno kabla ya umauti wake.
Nashindwa kabisa kuelewa siasa za kidini. Kwanini Mungu aliruhusu samia aingie madarakani?
 
Hapo Kuna mfungwa anayemaliza muda wake na mfungwa tarajali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom