Wote tunajua huyu ndiye mfungwa halisiWakati mwenzake kufanya kazi ya kulazimishwa moyoni hayuko huru
Nashindwa kabisa kuelewa siasa za kidini. Kwanini Mungu aliruhusu samia aingie madarakani?Mungu anaenda kutenda jambo kubwa tena kwa Taifa kupitia Lissu. Aliyeagiza kupigwa Risasi alikufa kwa mateso makubwa. Anayeagiza kumfunga atapata mateso makubwa mno kabla ya umauti wake.