Nani ndo GOAT wa Rhumba?

some usefull info, naomba source ya hii taarifa
 
some usefull info, naomba source ya hii taarifa
Source ni mimi mwenyewe; hujui kuwa mimi ni kichuguu? Hayo yanataokea mimi nilikuwa toddler tukifundishwa AEIOU kwenye mwembe. Ndiyo maana nilichukizwa na lugha yako kuse,ma kuwa mimi ni mwongo. Ni afadhali kusema kuwa hii siyo kweli kulikuo kusema kuwa huo ni uwongo. Najua vijana wengi wa siku hizi hawana skills za mawasiliano lakini kuna haja ya kuwa kuwa msikivu wakati unawasliana na watu wengine.
 
samahani kwa hili, nimechunguza online apa however naona anapewa credit mtu anaitwa Antoine “Papa Wendo” Kolosoy
 
Sikiliza: Rhumba unalolijua wewe leo hii lililetwa kwetu Afrika na Salim Abdallah; mengine yote ni hadithi tu. In fact Salimu alikwenda Cuba kujifunza muziki huo na kuuleta kwetu. Unaweza kufikiria miaka hiypo ya 1945 mtu kutoka Tanganyika hadi kufika Cuba na kurudi.
 
Kupata ngoma na liveshows zote za rhumba utaweza download kwa kupitia Google playstore jina rhumba music tv kama hauna unaweza tazama kupitia

 

Attachments

  • IMG-20260603-WA0005.jpg
    175.1 KB · Views: 9
  • IMG-20260603-WA0004.jpg
    98.3 KB · Views: 13
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…