Michael Scofield
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 1,225
- 471
Ndugu zangu, sisemi sana.
Vijana wa zamani mpooo?
ZEMBWELA
Maneno yako yote nimeyapokeeaa, yako moyoni mwangu.
Nimeyapokeeaa kwa roho moja e!
Huko hapa moyoni mwangu, mpenzi wangu macho yameona wengi
Lakini ni wewe pekeee ninaekupenda.
Roho yangu nimekuachia wewee! Nguvu zangu zote ni kwakoo!
Mara kwa mara ukuwazaa! kula kulala kwa mawazoo!
Hakuna kilichokuwa na thamani kwangu bila wewee!
Napokuona au nisikiapo sauti yakoo! Furaha ujaa moyonii!
Utokapo kwenda kazinii, wasiwasi kwangu unijiaa!
Kama utarudi salama na mungu yupo nawee! daima nitakupendaa!
Maneno yako yote nimeyapokeeaa, yako moyoni mwangu.
Nimeyapokeeaa kwa roho moja e!
Huko hapa moyoni mwangu, mpenzi wangu macho yameona wengi
Lakini ni wewe pekeee ninaekupenda.
Vijana wa zamani mpooo?
ZEMBWELA
Maneno yako yote nimeyapokeeaa, yako moyoni mwangu.
Nimeyapokeeaa kwa roho moja e!
Huko hapa moyoni mwangu, mpenzi wangu macho yameona wengi
Lakini ni wewe pekeee ninaekupenda.
Roho yangu nimekuachia wewee! Nguvu zangu zote ni kwakoo!
Mara kwa mara ukuwazaa! kula kulala kwa mawazoo!
Hakuna kilichokuwa na thamani kwangu bila wewee!
Napokuona au nisikiapo sauti yakoo! Furaha ujaa moyonii!
Utokapo kwenda kazinii, wasiwasi kwangu unijiaa!
Kama utarudi salama na mungu yupo nawee! daima nitakupendaa!
Maneno yako yote nimeyapokeeaa, yako moyoni mwangu.
Nimeyapokeeaa kwa roho moja e!
Huko hapa moyoni mwangu, mpenzi wangu macho yameona wengi
Lakini ni wewe pekeee ninaekupenda.