Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Haijawahi tokea, kwanini walio gombea ubunge au udiwani wakibaini msimamizi wa tume au tume ya uchaguzi imetangaza matokeo tofauti na waliyopewa kwenye chumba cha kuhesabia kura wasiwashtaki hawa wahusika kwa kutumia sheria ya takwimu badala ya kwenda kupinga uchaguzi mahakamani? na isitumike sheria ya uchaguzi. kipi rahisi.