Nani mwenye Tanzania curriculum?

Nani mwenye Tanzania curriculum?

maganjwa

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2012
Posts
2,806
Reaction score
2,349
mim naona huku field walimu wanapata shida sana elimu msingi maana take mini?

Ufafanuzi unahitajika sana kuondoa mtafakuru maswali ni kama ifutavyo.

je hakuna neno shule ya msingi?

upimaji wa mitihani ukoje form two. hakuna kufelisha?

na mengine mengi maana ukimuuliza mwalimu hakuna mwenye jibu
 
MTU mwenye nayo atuwekee tujisomee maana tunaendeshwa kama gari bovu
 
curriculum ni imagination tu ni kama mtu anakwambia peponi ko huwezi jua kuna nn huko ila curriculum ni activities zote katika sekta ya elimu(uwapo shuleni na haipo katika maandishi)
 
mim naona huku field walimu wanapata shida sana elimu msingi maana take mini?

Ufafanuzi unahitajika sana kuondoa mtafakuru maswali ni kama ifutavyo.

je hakuna neno shule ya msingi?

upimaji wa mitihani ukoje form two. hakuna kufelisha?

na mengine mengi maana ukimuuliza mwalimu hakuna mwenye jibu
Wakikujibu unishtue mkuu
 
1.Kwa mujibu wa SERA YA ELIMU YA MWAKA 2014 Elimu msingi ni kuanzia Darasa la kwanza hadi kidato cha nne.

2.Ndio neno Shule ya Msingi lipo: kisera tafsiri yake inajumuisha miundombinu ya Elimu msingi Kwa ngazi ya awali yaani Darasa la kwanza hadi la Saba! Kwa kiingereza "Primary School" don't confuse with "Primary Education"-Elimu ya msingi

3.Upimaji wa mtihani form two upo hivii:
Ili mwanafunzi avuke kidato cha pili kwenda kidato cha tatu anatakiwa kufanya mtihani wa taifa na kufaulu kuanzia wastani wa alama 30% yaani D(Pass) had A

Mwanafunzi yeyote atakayeshindwa kufikisha wastani wa alama "D" yaani aliepata "F"0-29% anatakiwa kurudia Darasa/kukariri kidato!!

Hayo mengine mengi yaseme!

Kuhusu kuwauliza walimu ukakosa majibu siyo kweli (pangilia maswali yako vizuri,then uliza Mwalimu zaidi ya mmoja)Hasa walimu wakuu na wakuu wa shule wana majibu yoote.
 
1.Kwa mujibu wa SERA YA ELIMU YA MWAKA 2014 Elimu msingi ni kuanzia Darasa la kwanza hadi kidato cha nne.

2.Ndio neno Shule ya Msingi lipo: kisera tafsiri yake inajumuisha miundombinu ya Elimu msingi Kwa ngazi ya awali yaani Darasa la kwanza hadi la Saba! Kwa kiingereza "Primary School" don't confuse with "Primary Education"-Elimu ya msingi

3.Upimaji wa mtihani form two upo hivii:
Ili mwanafunzi avuke kidato cha pili kwenda kidato cha tatu anatakiwa kufanya mtihani wa taifa na kufaulu kuanzia wastani wa alama 30% yaani D(Pass) had A

Mwanafunzi yeyote atakayeshindwa kufikisha wastani wa alama "D" yaani aliepata "F"0-29% anatakiwa kurudia Darasa/kukariri kidato!!

Hayo mengine mengi yaseme!

Kuhusu kuwauliza walimu ukakosa majibu siyo kweli (pangilia maswali yako vizuri,then uliza Mwalimu zaidi ya mmoja)Hasa walimu wakuu na wakuu wa shule wana majibu yoote.
asante kwa ufafanuzi mkuu
 
Back
Top Bottom