Usimtishe πYaani hadi nimeshangaaπππ., kampelewele uje utoe maelezo hapa
sawa naachaππUsimtishe π
Namshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai, afya na maisha haya nilio nayo.Kwenye makuzi yetu mpaka kufikia hapa tulipofikia kuna mtu amehusika kwa asilimia kubwa mpaka kufika tulipofika.
Yawezekana ni baba,mama, rafiki, bibi, babu, mjomba, mwalimu wa shule ama yeyote anayehusika moja kwa moja kwa kufika ulipofika.
Shukrani zangu kwako mzee wangu(baba) umenipigania sana sina cha kukulipa chenye kufikia jitihada zako ila mungu atakulipa.
Ee nitajie jina langu moja kama kweli unanifahamu?Mkuu mbona kama nakufahamu, am sorry lakini
Achana na Lamomy ana wivu huyo!Yaani hadi nimeshangaaπππ., kampelewele uje utoe maelezo hapa
PM ipo UkumbukeNimekukosa tena
UmenifungiaPM ipo Ukumbuke
Jamani weweππ, nitaje hapa?Ee nitajie jina langu moja kama kweli unanifahamu?
Yaa nimekurusuhu labda ni kweli unanifahamu.Jamani weweππ, nitaje hapa?
Ipo wazi mbonaUmenifungia