Burkinabe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,982
- 3,342
Mwabukusi hoyee!Amepita Uyo Na Uzi Ufungwe
Mwabukusi hoyee!Amepita Uyo Na Uzi Ufungwe
Jf impe uraisi mtu.. dr namugari uko sirias kweli?. Tunaotoa nchi wenyewe tuliomba radhi kwa kumpa kijana mdogo magufuli akatuchangamshaTumpe ndungai, au tindu, wapate aibu, sawa na Mandela kibao kiligeuka watesi wakapata aibu Ila aliwatendea wema.
Umeli Kong hoja!Apewe au Achaguliwe?
Mtaka uongoKuna watu hawa.
1. Bashiru Ally
2.Kasim Majaliwa
3.Antony Mtaka.
4. Paul Makonda
Hyo haiwezi kumzuia kuwa rais bhnaHaaminiki tena maana alitudanganya mzee wetu anachapa kazi kumbe ...........
Sahih kbsaaKiongozi mkubwa kama Rais anapaswa kuwa mtu ambaye yuko tayari kufa kwa ajili ya Taifa lake na watu anaowaongoza. Sioni mwingine zaidi ya huyu Mwamba Wakili Msomi Boniface Mwabukusi.
Labda atatusaidia pia Watanzania wengine kuondokana na uoga uliokithiri!
Bashiru jizi linalojificha nyuma ya u communist.Kuna watu hawa.
1. Bashiru Ally
2.Kasim Majaliwa
3.Antony Mtaka.
4. Paul Makonda
Deep state ya nch hi haifanyi kazi ipazavyo hata Hakuna watu weledideep state ishaamua soon utajua hilo.
Makonda ,chalamila Kweli hata sijui waliwezaje kuwa wakuu wa mikoaHii nchi itakiwa kuongozwa na rais mbabe asiyecheka na kima yeyote shambani awe wa ndani au wa nje. Kina mwigulu, makonda, chalamila na wengine wa kariba ya magufuli
Bashiru baada ya kupewa ukatibu mkuu CCM alisema hatagombea tena na ndio cheo cha mwisho so mwacheni apumzike, Majaliwa ni muongo kuliko waziri mkuu yeyote kutokea Tanzania, Makonda ni mpuuzi hata ubalozi wa nyumba kumi asipewe, Mtaka simjuiKuna watu hawa.
1. Bashiru Ally
2.Kasim Majaliwa
3.Antony Mtaka.
4. Paul Makonda
Tokaa uko jafo Tena yey si ndio atatupeleka shimoji tamisemi tu imemshindaKarata yangu bila kupepesa macho bora tuongozwe na watu wa vitengo na kijana naye muona ni sullemani jaffo ana ogopeka maana ni mtu mwenye msimamo yake n ndio Maana kasahaulika
Kudadadeki pata shika nguo kuchaniakaRais bashiru
Makamu wa rais makonda
Waziri mkuu polepole
Hyo siyo sababumwongo sana.. alitudanganya wazi wazi eti jamaa haumwi yupo anachapa kazi..
Hata Hili swla la badndari katupiga kamba mbaya anasema mkatba utakuwa Kama tics wkt Ni uongo mkubwamuongo bana siku ile si alitudanganya kweupeee eti 'mhishimiwa' haumwi anachapa kazi!
Sahih kbsaa cccm watuletee huyu mtuBalozi Bashiru Kakurwa anafaa kwa 100%
Ona Sasa huyu asiye dikteta nnchi imemshinda hata pesa za kuagizia mafuta hana