Nani mwenye kaliba ya "Kimagufuli" tumpe nchi 2025?

Kutokuwa na mke ni moja ya vigezo?... Mbona Chief Hangaya hana mume na anaongoza japo kwa kiasi chake? :oops:
Anaongoza matahahira tu hata pesa za kununua mafuta Hakuna uongozi gani huo

Hangaya Ni empty hajui anachofanya Hadi kusaini mkatba wa hovyo Kia's kile
 
1. Joseph Butiku
2. Humphrey Polepole
3. Bashiru Ally
4. Dr. Slaa
5. Tundu Lissu
6. Job Ndugai
7. Kassim Majaliwa
8. William Lukuvi
9. Halima Mdee
10. Paul Makonda
Kaama Ni kuchagua Ni mmoja pekeee anafahaa Bashiru tu

Au William
 
Honestly nimekuwa disappointed sana na Rais Samia 😢
Kwa maoni yangu ningefurahi tukipata mtu mwenye 'msimamo thabiti' kama wa yule mwamba.
1. Bashiru Ally
2. Mr Katelephone (sina uhakika sana na msimamo wake, pamoja na kuhusishwa kwenye skandali za kibiashara, lakini anaonekana kuwa mtu serious)
3. Kwenye upinzani sijapata mtu!
Nb. Kwenye orodha wasiwepo watu hawa: Nape, Lisu, Mwigulu, Januari. Hawa watu ni ni garbage aka basura.
 
1. Polepole- Siasa za kistaarabu zisizo za kudhuru watu hasa upinzani anaweza ila ana uwezo mkubwa wa kupambana na Mafisadi na wote wazembe.

2. Bashiru- huyu Mafisadi watapigwa risasi hadharani na ana actions za hapo kwa hapo kama Magufuli.

3. Majaliwa- huyu kutokana na nafasi yake aliyoitumikia ameshaji define hana maamuzi magumu mfano mzuri mambo yanayotokea anaogopa hata ku comment tu. Kwahiyo Nina mashaka naye.

4. Makonda: itoshe kusema ana msimamo mkali sana wa Kimajumui.

5. Tundu Lissu ni kama Magufuli tu ila Lissu atatumia Sheria kuwaangamiza Mafisadi.

6. Mwabukusi- Huyu halitasalia jiwe juu ya jiwe. Yaani atapukutisha kizazi Cha walamba asali wote.
7. Ummy Mwalimu: Anaweza vizur management ila kwenye maamuzi magumu atakuwa kama Mama tu.

8. Juma Aweso: huyu atafaa sana kwasababu akiwa na mamlaka kamili ana maamuzi magumu na actions za papo kwa papo.

9. Mimi Mwenyewe, kwanza mimi nitareform mfumo mzima wa Serikali na nitafukua makaburi kwa yeyote aliyewahi kuhusika na ufisadi nitarara nae Mbere!

Hizo namba sio kwa Ubora au umuhimu ni Serial number tu.
Sahih kbsaa mwabukuzi akipata atatuvusha
 
Jamaa ana jitihada za kuweka namba za simu kwenye maandiko yake kama mganga wa kienyeji kwa matumaini ya kuonekana lakini wamemlia bati tu. Anasifia mpaka visivyosifiwa.
Ni taahira yule nahisi Ni kijana tapeli tu wa uvccm
 
Umefika wakati tujadili kuhusu chama mbadala maana watu kwenye taasisi yetu ya urais hawajaleta tija tarajiwa nadhani tukibadili chama tunaweza kupata mtanzania mwenye sifa stahiki
 
Umefika wakati tujadili kuhusu chama mbadala maana watu kwenye taasisi yetu ya urais hawajaleta tija tarajiwa nadhani tukibadili chama tunaweza kupata mtanzania mwenye sifa stahiki
Mh swla la kubadili chma naona Kama gumu ila naamin huwenda mtu akaingia Kisha akajibadili na kuwa na kaliba ya kimagufuli kwanza kwa kuwa eliminate wale wote mafisadi
 
Jamaa ana jitihada za kuweka namba za simu kwenye maandiko yake kama mganga wa kienyeji kwa matumaini ya kuonekana lakini wamemlia bati tu. Anasifia mpaka visivyosifiwa.
Mkuu, tunapojadili mambo serious ni vizuri kuwa serious pia. Najua umesema kwa kukejeli, lakini kuna watu unaweza kuwasaidia kwa kuonyesha seriousness yako wazi. Siko against you, lakini nahimiza tuwe serious!
 
Nani anamfahamu mke wa Castro, aliongoza Cuba kwa mafanikio makubwa kuwa na mke au kutokuwa naye si hoja, mara nyingine wake ni washauri wabaya sana, na Jiwe aliweza kwa sababu Mama Janeth kakupewa nafasi ya kufurukuta, CCM tukiwa na akili nzuri tumpe Polepole tutavuka, vinginevyo Mmmh.
 
Back
Top Bottom