Nani mwenye kaliba ya "Kimagufuli" tumpe nchi 2025?

Mi list yangu hii
1. Boniphace Kajunjumele Mwabukusi
2.Bashiru Ally Kakuru
3.Hussein Ally Mwinyi
4.Philipo Isdory Mpango
Lissu sijamuweka kwasababu ana mihemuko mingi sana anafaa kuwa waziri mkuu au waziri wa katiba na sheria.
 
Nimekuwa nikifikiri jinsi namba moja alivyopatikana na hatimae kawa namba Moja Kweli Bila kutarajia nafsi zote hzo alizo hudumu hadi hivi sasa.

Sasa siyo vibaya tukawa na list ya watu wanao weza kufanya hi kaz nyepesi kbsa.

Sasa 2025 siyo mbali Ni Bora tukamuandaa mtu mwingine mapema kwani Kuna kila dalili kwamba hata gombea Tena awamu hyo 2025 hvyo ni vzr tuwe na watu wakufanya kaaz hi iliyo mshinda.

Nafikiria

1. Polepole angetufaa ila Hana mke

2. Bashiru All Kakurwa pia afikiriwe atupelek ktk nnchi ya ahadi jamaa ni 89% ni Magufull kabisa

3. Mwigulu ila hafai kbsa siasa zake ni za hovyo sanaa hasa kwa upinzani

Kwa upinzani, tumpe Lisu tu Hana mpizaani kbsa anaweza kbsa.

Kama una mgombea wako una muhusudi ni vzr pia awekwe hapa huenda tukaunga mkono wazo lako.
Hatutaki mtu wa kama yule
 
Hao ni ambao nyie mnawajua lakini kuna Marais hapa Tanzania wengi sana wazuri wanaweza kusaidia nchi hii ila mkiwapa hao akina Mwigulu mmekwisha
 
Nimekuwa nikifikiri jinsi namba moja alivyopatikana na hatimae kawa namba Moja Kweli Bila kutarajia nafsi zote hzo alizo hudumu hadi hivi sasa.

Sasa siyo vibaya tukawa na list ya watu wanao weza kufanya hi kaz nyepesi kbsa.

Sasa 2025 siyo mbali Ni Bora tukamuandaa mtu mwingine mapema kwani Kuna kila dalili kwamba hata gombea Tena awamu hyo 2025 hvyo ni vzr tuwe na watu wakufanya kaaz hi iliyo mshinda.

Nafikiria

1. Polepole angetufaa ila Hana mke

2. Bashiru All Kakurwa pia afikiriwe atupelek ktk nnchi ya ahadi jamaa ni 89% ni Magufull kabisa

3. Mwigulu ila hafai kbsa siasa zake ni za hovyo sanaa hasa kwa upinzani

Kwa upinzani, tumpe Lisu tu Hana mpizaani kbsa anaweza kbsa.

Kama una mgombea wako una muhusudi ni vzr pia awekwe hapa huenda tukaunga mkono wazo lako.
Mimi ninao wanne:
1. Lengai ole Sabaya- huyu aliinyosha Hai, ana uthubutu, na ana cheo cha general

2. Paul C. Makonda- sifa zake ziko wazi, Tanzania nzima

3. Chalamila-RC wa DSM huyu mwamba ni Magu mtupu na ni comedian mzuri sana. Pia ana uwezo wa kulamba watu viboko wakienda kinyume na taratibu. Wale wanafunzi wa mbeya ni mashahidi

4. Hapi ex RC wa mara. Huyu ni mchapakazi na mkulima mahiri. Atatufaa sana. Halafu ni msomi wa kupiga mfano
 
Nimekuwa nikifikiri jinsi namba moja alivyopatikana na hatimae kawa namba Moja Kweli Bila kutarajia nafsi zote hzo alizo hudumu hadi hivi sasa.

Sasa siyo vibaya tukawa na list ya watu wanao weza kufanya hi kaz nyepesi kbsa.

Sasa 2025 siyo mbali Ni Bora tukamuandaa mtu mwingine mapema kwani Kuna kila dalili kwamba hata gombea Tena awamu hyo 2025 hvyo ni vzr tuwe na watu wakufanya kaaz hi iliyo mshinda.

Nafikiria

1. Polepole angetufaa ila Hana mke

2. Bashiru All Kakurwa pia afikiriwe atupelek ktk nnchi ya ahadi jamaa ni 89% ni Magufull kabisa

3. Mwigulu ila hafai kbsa siasa zake ni za hovyo sanaa hasa kwa upinzani

Kwa upinzani, tumpe Lisu tu Hana mpizaani kbsa anaweza kbsa.

Kama una mgombea wako una muhusudi ni vzr pia awekwe hapa huenda tukaunga mkono wazo lako.
Mkuu wa mkoa dasalama
 
Kati ya Tundu Lisu na Hussein Mwinyi mmojawapo 2025 anapokea kwa mama yetu mpendwa.
 
Hii nchi itakiwa kuongozwa na rais mbabe asiyecheka na kima yeyote shambani awe wa ndani au wa nje. Kina mwigulu, makonda, chalamila na wengine wa kariba ya magufuli
Mwigulu anapenda 10% za mikopo kila siku mikopo inakera
 
1. Joseph Butiku
2. Humphrey Polepole
3. Bashiru Ally
4. Dr. Slaa
5. Tundu Lissu
6. Job Ndugai
7. Kassim Majaliwa
8. William Lukuvi
9. Halima Mdee
10. Paul Makonda
Hapa ni Dr. Salaam na Majaliwa ao wengine hamna kitu
 
Hivi kwenye katiba hatuna kipengele Cha ku adopt raisi wa nchi nyingine?Ningependekeza tumchukue hata Kwa mwaka mmoja field masho mzaliwa wa Tambwe pale si mwingine ni Kaaaaaaaaaaa game atunyooshe mwaka mmoja Kisha aweke hata parachich ikulu pale na mambo yataenda.
 
Back
Top Bottom