I tell you....Kuna watu hawa.
1. Bashiru Ally
2.Kasim Majaliwa
3.Antony Mtaka.
4. Paul Makonda
Wewe siyo Mnafiki. Nyeupe ni Nyeupe na Nyeusi ni Nyeusi God bless you.
I tell you....Kuna watu hawa.
1. Bashiru Ally
2.Kasim Majaliwa
3.Antony Mtaka.
4. Paul Makonda
Magufuli alikuwa mshamba na ,toka lini msukuma akawa mjanja.Ndio maana alikuwa kichwa kimasihara sana.Hawezi penya mtu mwenye khaliba izo otherwise aingie then abadilike baada ya kutake power......
Yaan Magufuri na ujanja wote na uzalendo wake wote aliishiwa kuliwa kichwa na washenzi....
Kwangu...
MAGUFULI IS JUST LIKE A DOUBLE EDGED SWORD 🗡️⚔️🗡️
HATUTAKI MADIKTETANimekuwa nikifikiri jinsi namba moja alivyopatikana na hatimae kawa namba Moja Kweli Bila kutarajia nafsi zote hzo alizo hudumu hadi hivi sasa.
Sasa siyo vibaya tukawa na list ya watu wanao weza kutanya hi kaz nyepesi kbsa.
Sasa 2025 siyo mbali Ni Bora tukamuandaa mtu mwingine mapema kwani Kuna kila dalili kwamba hata gombea Tena awamu hyo 2025 hvyo ni vzr tuwe na watu wakufanya kaaz hi iliyo mshinda.
Nafikiria
1. Polepole angetufaa ila Hana mke
2. Bashiru All Kakurwa pia afikiriwe atupelek ktk nnchi ya ahadi jamaa ni 89% ni Magufull kabisa
3. Mwigulu ila hafai kbsa siasa zake ni za hvyo sinaa hasa kwa upinzani
Kwa upinzani, tumpe Lisu tu Hana mpizaani kbsa anaweza kbsa.
Kama una mgombea wako una muhusudi ni vzr pia awekwe hapa huenda tukaunga mkono wazo lako.
Wote hawafai...wakilazimisha nitawaendea naijeriaHawawezi kurudia kosa kama lile la jiwe 2015 . Kati ya Nchemba, Nape au Makamba mmoja lazma atimbe ikulu
😂😂😂 mzee vip kwan unaogopa goli la mkono?Wew nape kuwa rais mungu wangu Bab wa mbinguni
Mkuu ukiwatoa hao ccm iko wapi??Wote hawafai...wakilazimisha nitawaendea naijeria
Watamgawana kama jiweKiongozi mkubwa kama Rais anapaswa kuwa mtu ambaye yuko tayari kufa kwa ajili ya Taifa lake na watu anaowaongoza. Sioni mwingine zaidi ya huyu Mwamba Wakili Msomi Boniface Mwabukusi.
Labda atatusaidia pia Watanzania wengine kuondokana na uoga uliokithiri!
Ulianza vizuri ila nilipoona Makonda nikazima simu kwanza.Kuna watu hawa.
1. Bashiru Ally
2.Kasim Majaliwa
3.Antony Mtaka.
4. Paul Makonda
Kutokuwa na mke ni moja ya vigezo?... Mbona Chief Hangaya hana mume na anaongoza japo kwa kiasi chake? 🤔Nimekuwa nikifikiri jinsi namba moja alivyopatikana na hatimae kawa namba Moja Kweli Bila kutarajia nafsi zote hzo alizo hudumu hadi hivi sasa.
Sasa siyo vibaya tukawa na list ya watu wanao weza kutanya hi kaz nyepesi kbsa.
Sasa 2025 siyo mbali Ni Bora tukamuandaa mtu mwingine mapema kwani Kuna kila dalili kwamba hata gombea Tena awamu hyo 2025 hvyo ni vzr tuwe na watu wakufanya kaaz hi iliyo mshinda.
Nafikiria
1. Polepole angetufaa ila Hana mke
2. Bashiru All Kakurwa pia afikiriwe atupelek ktk nnchi ya ahadi jamaa ni 89% ni Magufull kabisa
3. Mwigulu ila hafai kbsa siasa zake ni za hvyo sinaa hasa kwa upinzani
Kwa upinzani, tumpe Lisu tu Hana mpizaani kbsa anaweza kbsa.
Kama una mgombea wako una muhusudi ni vzr pia awekwe hapa huenda tukaunga mkono wazo lako.
Sio kweli mkuu..mbona Hana talaka???Kutokuwa na mke ni moja ya vigezo?... Mbona Chief Hangaya hana mume na anaongoza japo kwa kiasi chake? 🤔
Ulitaka aseme moja kwa moja kuwa amekata kauli?Haaminiki tena maana alitudanganya mzee wetu anachapa kazi kumbe ...........
Ndugai hafai ni mshamba wa wazungu, wachina na WaarabuSahih kbsaa nduagi anatufaha mno mno