Wakuu, nataka nilete hii mada mbele yenu kati ya Edward Lowassa na Dr. Slaa kuhusu shule za kata.
Dr Slaa alianzisha Sekondari za kata kabla ya mwaka 2000, wakati Lowassa anatangaza sekondari za kata zijengwe nchi nzma tayari Dr Slaa jimboni kwake kila kata iwe na a-level na sekondari kila kijiji na dispensari kila kijiji.
Dr Slaa ameacha hizo program tayari kwa asilimia 90. Lowassa yeye alihamasisha nchi nzima kama Waziri Mkuu.
Nawapongeza wote kwa nafasi zao wamecheza na wameweza.
Dr Slaa alianzisha Sekondari za kata kabla ya mwaka 2000, wakati Lowassa anatangaza sekondari za kata zijengwe nchi nzma tayari Dr Slaa jimboni kwake kila kata iwe na a-level na sekondari kila kijiji na dispensari kila kijiji.
Dr Slaa ameacha hizo program tayari kwa asilimia 90. Lowassa yeye alihamasisha nchi nzima kama Waziri Mkuu.
Nawapongeza wote kwa nafasi zao wamecheza na wameweza.