Nani muislamu hapa..........?

Nani muislamu hapa..........?

sinafungu

JF-Expert Member
Joined
Feb 13, 2010
Posts
1,527
Reaction score
868
jamaa; kaingia msikitini na panga lililonolewa likanoleka, akawauliza waumuni waliokuwa wanangoja muda wa swala
waumini; kimyaaaa

jamaa; ...kwa kufoka nauliza nani muislamu hapa eboooo....!! hamnisikiii.....?

wauminii; kila mtu akiwa na hofu anamuangalia mwenzake.

Jamaa; akaingia ndani akamnyanyua mmoja na kutoka naye nje...... huko nje alikuwa na mbuzi wake anataka achinjiwe, akamuambia jamaa, nichinjie mbuzi wangu. muumini kwa hofu kubwa akamchinja mbuzi, kisha akwamwambia jamaa mzee mi kuchuna sijui nenda kamtafute mtu mwingine, ile jamaa kumpa kisogo tu jamaa akatoka nduki, jamaa moja kwa moja hadi msikitini tena huku panga mkononi na damu limetapakaa

jamaa; nani muislamu humu...? na panga mkononi huku likiwa na damu

waumini; kimyaaaaaaaa

jamaaa; nauliza tena nani muislamu humu.....?

waumini kwa hofu kubwa, wakamnyooshea kidole sheikh wao , ni yule pale mbele

sheikh; aka mi sio muislamu kukaa hapa mbele tu ndo mnaniita muislamu akaa
CHEVEA KIFO WEYE...........!!!!
 
Ahahhhahahahah, mimi hapa Muislam!
 
Sio tamu sana kipindi hiki ambacho kuna religious tension hata huku mitandaoni.
 
Sio tamu sana kipindi hiki ambacho kuna religious tension hata huku mitandaoni.

Yheaaa...i support U...but its didnt spoil The fan Out...but still we gotta Laugh coz Lyfe short bhana......
 
Upuuzi mwingine, eti mtu anauliza msikitini nani Muislaam?

JF imezidi vitoto vidogo siku hizi.
 
faizafoxy i think u have bad religious sentiments and inferiority in you! its just a joke madam keep calm! try to get rid of that thoughts.
 
sasa unaingia msikitini halafu unaliza nani mwislamu.....ni sawa na kuingia ofisi ya waalimu ukauliza nani mwalimu
 
santee kwa kutukumbusha tulishaisahau hii.
Nalog off
 
ahahahahah si wanajifanyaga wanahitikadi wangesema ss ahahahahsh hadi sheh kakana? kwel nouma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom