Geoffrey baraza
Member
- Jun 4, 2012
- 12
- 2
Mtoto katoka shuleni huku analia,alipofika nyumbani baba yake akamuuliza walia nini? MTOTO nimepigwa na mwalimu na nimeambiwa twende sote shuleni! Wakaenda shuleni na kuingia ofisini MWALIMU karibuni mtoto wako tumemuuza Nairobi iko wapi akashindwa ndio maana tumemchapa!BABA kwa hasira akamgeukia mtoto wake na kumpiga vibao akamwambia mpumbavu mkubwa nakukataza kila siku kuchezea vitu vya watu hukomi haya Nairobi ya mwalimu umepeleka wapi???