TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
- Thread starter
- #21
Jibu swali kama huna jibu tunza kadi yako ya kupigia kura.
Majitaka...!
ukiona kobe kainama ujue anatunga sheria watu wakiwa kimya usidhani hawajui labda wanasubiri mda mwafaka wa kuyasema
NO STONE SHALL REMAIN ON THE OTHER WHATEVER IS COVERED SHALL BE UNCOVERED& WHATEVER IS HIDDEN SHALL BE REVEALED
Watu wamelala humu kaka,ngoja after uchaguzi waombe matumizi ya michango yao.Abracadabra.
Wahindi
hoja nyinginethats very true.
madrassa al sul
madrassa al sul
Vipi mbona kampeni zenu zimepooza sana?
hayo matabasamu, kama wanaombwa tigo vile!
wataje tafadhali
Nadhani nyote mnafahamu kwamba jamaa aliwahi kusema kawekewa vinasa sauti kule hotel 56 Dodoma.Nilitaka kufahamu nani mmiliki wa Alba Apartments alipokuwa anaishi Dr.Slaa na Josephine na watoto wao wawili.Hii itatusaidia kujua kwa nini ndugu yetu huyu alipaamini sana na kuamua kukaa pale na "familia" yake hiyo.
Salma KikweteNaulizia hizo Apartments,am being specific kwa sasa.Kama jibu la swali lako unalo unaweza kutupatia kwa ajili ya kumbukumbu.