komba05
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 367
- 291
Habari za hapa wakuu, kuna hii kitu imesumbua fikra za watu wengi sana. Nikaona Leo niilwte humu tujuzane kwa kina!
Kuna wimbo ameimba dully Sykes na huyu dogo Harmonize, sasa inasemekana sana kuwa wimbo ni Wa dully Sykes, lakini vitu ninavyojiuliza Kwanini hawa WCB wameshoboka sana ktk hiyo song? Au ni sababu kijana wao kashirikishwa? Pili je ni kweli dully hakuweza kuidhibiti hiyo kitu ili umiliki Wake halali ufahamike? Maana huku mtaani wengine wakiingia YouTube anaiona nembo ya WCB na vinginevyo vyenye kuashiria WCB ndio wamiliki!
Binafsi legendary dully namkubali sana, ila kwa hapo naona kama chenga vileee!
Karibu kutoa fikra zako?
Kuna wimbo ameimba dully Sykes na huyu dogo Harmonize, sasa inasemekana sana kuwa wimbo ni Wa dully Sykes, lakini vitu ninavyojiuliza Kwanini hawa WCB wameshoboka sana ktk hiyo song? Au ni sababu kijana wao kashirikishwa? Pili je ni kweli dully hakuweza kuidhibiti hiyo kitu ili umiliki Wake halali ufahamike? Maana huku mtaani wengine wakiingia YouTube anaiona nembo ya WCB na vinginevyo vyenye kuashiria WCB ndio wamiliki!
Binafsi legendary dully namkubali sana, ila kwa hapo naona kama chenga vileee!
Karibu kutoa fikra zako?