Nani mkweli kati ya Wananchi, Serikali na TRA?

Nani mkweli kati ya Wananchi, Serikali na TRA?

Hii post imekaa kichochezi....teh teh teh!!!!!!

Mimi Niko bize nafyatua watoto serikali itawasomesha bure......
Hongera poti, mi nashindwa kufyatua kwa sababu njaa inafanya mzee asinyanyuke, nakuonea here sana
 
Hali ya pesa kitaani ni ngumu sana pesa haipatikani na kazi zenyewe hazipatikani ili upate pesa
 
Kama tumefilisika si tuambiwe basi.
house NDP ukweli uambiwe Mara ngapi?? wamefilisi nchi, na bado walipora ushindi wa ukawa na bado wang'ang'ania madaraka hali inavyozidi kuwa ngumu IPO Siku watakubali yaishe tu, hii yote in mipango ya munguili watu wake wajue hila na dhuluma wayofanyiwa na CCM
 
Umeandika upande nusu nusu, ulitakiwa pia uandike deni la taifa na malipo yanayofanyika kila mwezi kulipia deni hilo, malipo kwa ajili ya elimu bure na ununuzi wa ndege mpya.
hayo si matatizo yanayo lalamikiwa.
 
Back
Top Bottom