MR KADIDY
Member
- Mar 26, 2021
- 67
- 115
Mziki wa bongo umekuwa na mkundi makubwa matatu mabayo ndio yanazungumziwa sana na mashabiki wa mziki makundi hayo ni haya [emoji116]
1. WCB
Hii ni label ya mziki ambayo inamilikiwa na DIAMOND PLATINUM ( NASIBU ABDUL) ambayo ina wasanii kama vile
_Rayvany
_mbosso
_zuchu
_lavalava
_Queen darlin
2. KINGS MUSIC
Hii ni label ambayo inamilikiwa na msanii Ali Kiba ambayo inawasanii kama
_Tommy flavour
_K2ga
3. KONDE MUSIC WORLD WIDE ( KONDEGANG)
Hii inamilikiwa na msanii HARMONIZE ( RAJABU ABDUL KAHAR) label hii ina wasanii kama
_Ibraah
_anjella
_killy
_cheed
Ipi inafanya kazi nzuri kwasasa na kwanini unahisi inafanya vizuri?
1. WCB
Hii ni label ya mziki ambayo inamilikiwa na DIAMOND PLATINUM ( NASIBU ABDUL) ambayo ina wasanii kama vile
_Rayvany
_mbosso
_zuchu
_lavalava
_Queen darlin
2. KINGS MUSIC
Hii ni label ambayo inamilikiwa na msanii Ali Kiba ambayo inawasanii kama
_Tommy flavour
_K2ga
3. KONDE MUSIC WORLD WIDE ( KONDEGANG)
Hii inamilikiwa na msanii HARMONIZE ( RAJABU ABDUL KAHAR) label hii ina wasanii kama
_Ibraah
_anjella
_killy
_cheed
Ipi inafanya kazi nzuri kwasasa na kwanini unahisi inafanya vizuri?