- Thread starter
- #21
Mkali ni Eminem...
Eminem na nani sasa? labda na FidQ, sidhani kama huyo Eminem atawafikia kina Profesa Jay na Mr. Two kwa sasa jamaa wanavuta mpunga kibao bungeni kwa sasa?
Mkali ni Eminem...
labda unazungumzia kris brauni wa mbagala kuu njia ya ng'ombe
Eminem na nani sasa? labda na FidQ, sidhani kama huyo Eminem atawafikia kina Profesa Jay na Mr. Two kwa sasa jamaa wanavuta mpunga kibao bungeni kwa sasa?
Yaani Sugu na Jay wanavuta mpunga kuliko Eminem!!?Eminem na nani sasa? labda na FidQ, sidhani kama huyo Eminem atawafikia kina Profesa Jay na Mr. Two kwa sasa jamaa wanavuta mpunga kibao bungeni kwa sasa?
Yaani Sugu na Jay wanavuta mpunga kuliko Eminem!!?
Utakuwa unatania!.
Duuuuh!!...Haya bhana.Ndiyo mkuu, huna habari kuwa wameshinda ubunge hawa?
kwa taarifa yako Jay ni mbunge wa mikumi na Mr. 2 ni wa Mbeya mjini.
Eminem yeye si atakuwa anategemea show tu? na recently hana hata kibao kinachovuma.
Aubameyang ni zaidi ya samatta messi ni zaidi ya aubameyang messi na samatta????????????????Huo mfano wake sawa na kusema eti samata na mess wa Barcelona nan zaid ya mwenzake nijibu rahis mtoto wa chekechea anajibu hilo
Hivi diamond anaimba mziki gani vilee ??Level nyingine kiaje mkuu kwani Chris haimbi RnB?
Wadau wajukwaa hili,
Recently tumeona jinsi kijana wetu Diamond anavyofanya vizuri kwenye music, hapa nyumbani na hata kimataifa.
Hebu tuseme ukweli bila Chuki...
Diamond Platinum na Chris Brown nani mkali au yuko vizuri kwenye maswala yote yakuimba na kucheza?
Acha hizo wewe, kutokana kombe la mapinduzi, nani zaidi ya mwenzake kati ya simba, mtibwa na ura?Aubameyang ni zaidi ya samatta messi ni zaidi ya aubameyang messi na samatta????????????????
Kule ilikuwa messi na samatta hapa kwenye vilabu unashindanisha kilabu ipi na ipi?Sijakusoma?Acha hizo wewe, kutokana kombe la mapinduzi, nani zaidi ya mwenzake kati ya simba, mtibwa na ura?
Simba kaifunga ura moja bila, mtibwa kaifunga simba moja bila na ura kaifunga mtibwa tati moja!
Simba, mtibwa na URA kutokana na kombe la mapinduzi na hizo scores.Kule ilikuwa messi na samatta hapa kwenye vilabu unashindanisha kilabu ipi na ipi?Sijakusoma?
Wadau wajukwaa hili,
Recently tumeona jinsi kijana wetu Diamond anavyofanya vizuri kwenye music, hapa nyumbani na hata kimataifa.
Hebu tuseme ukweli bila Chuki...
Diamond Platinum na Chris Brown nani mkali au yuko vizuri kwenye maswala yote yakuimba na kucheza?
Kafa Kaoza, Haoni wala Hasikiii. Tena usithubutu kumbishia!!!duuh! Mahaba yakizidi bana .....
Wadau wajukwaa hili,
Recently tumeona jinsi kijana wetu Diamond anavyofanya vizuri kwenye music, hapa nyumbani na hata kimataifa.
Hebu tuseme ukweli bila Chuki...
Diamond Platinum na Chris Brown nani mkali au yuko vizuri kwenye maswala yote yakuimba na kucheza?