GeoMex JF-Expert Member Joined Jan 10, 2014 Posts 5,431 Reaction score 20,060 Dec 24, 2016 #21 wingatereza said: Mjinga namba moja, wenzake wana misumeno yeye anakodoa macho badala ya kuruka au kumzaba vibao no 2 Click to expand... Watu wengi hawajagundua hilo. Ni hora ya matatizo uliyojisababishia mwenyewe kuliko kuona mtu anakutengenezea matatizo na ww umekaa unakodoa tu
wingatereza said: Mjinga namba moja, wenzake wana misumeno yeye anakodoa macho badala ya kuruka au kumzaba vibao no 2 Click to expand... Watu wengi hawajagundua hilo. Ni hora ya matatizo uliyojisababishia mwenyewe kuliko kuona mtu anakutengenezea matatizo na ww umekaa unakodoa tu
Mgodo visa JF-Expert Member Joined Nov 1, 2016 Posts 3,589 Reaction score 3,639 Dec 24, 2016 #22 Namba 3 ndio kubwa janja....japo hana analojua.....
cacocaca Senior Member Joined Feb 13, 2015 Posts 171 Reaction score 99 Dec 24, 2016 #23 No 3 ndiyo mjanja wao hao wengine wote vilaza ila akitokea no 5 hapo chini anakata shina ndiyo atakuwa mjanja zaidi
No 3 ndiyo mjanja wao hao wengine wote vilaza ila akitokea no 5 hapo chini anakata shina ndiyo atakuwa mjanja zaidi
kishaija JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 1,049 Reaction score 1,205 Dec 24, 2016 #24 Jambazi said: Click to expand... Humu jf kuna mtu anaitwa MJINGA MIMI.Sjui ye'ni yupi kati ya hao ilitusisumbuke kukujib swali lako
Jambazi said: Click to expand... Humu jf kuna mtu anaitwa MJINGA MIMI.Sjui ye'ni yupi kati ya hao ilitusisumbuke kukujib swali lako
Kertel JF-Expert Member Joined May 11, 2012 Posts 5,701 Reaction score 5,631 Dec 24, 2016 #25 Sizonje namba 4
wingatereza JF-Expert Member Joined Jul 14, 2016 Posts 1,347 Reaction score 1,743 Dec 31, 2016 #26 GeoMex said: Watu wengi hawajagundua hilo. Ni hora ya matatizo uliyojisababishia mwenyewe kuliko kuona mtu anakutengenezea matatizo na ww umekaa unakodoa tu Click to expand... Unajua ni vipi mtu wangu, no 2 anammaliza no. 1, no 3 anammaliza no.2, no.3 yuko safe na anajua anachokifanya ila no.4 anajiua, suicide. Kwa hiyo automatically no. 1 ni fala farasi Tuko pamoja
GeoMex said: Watu wengi hawajagundua hilo. Ni hora ya matatizo uliyojisababishia mwenyewe kuliko kuona mtu anakutengenezea matatizo na ww umekaa unakodoa tu Click to expand... Unajua ni vipi mtu wangu, no 2 anammaliza no. 1, no 3 anammaliza no.2, no.3 yuko safe na anajua anachokifanya ila no.4 anajiua, suicide. Kwa hiyo automatically no. 1 ni fala farasi Tuko pamoja