Samaani naomba msaada wa kulifaamu hili, nani anagombea kwa tiketi ya upinzani katika jimbo la Zungu?
Nimeuliza hivi kwa sababu ya kutaka kujua kilichomfanya jana kujitoa ufaamu na kuwasaliti wanajimbo lake watu makini na wasomi wanaoishi katika jimbo hilo na kuangukia kwenye kundi la wasaka tonge.
Lakini pia nimefanya utafiki wale Wabunge wote ambao wameonyesha kumuunga mkono wazawazi kwenye majimbo yao wana hali mbaya na hawatarudi bungeni kamwe tayari yamechukuliwa na upinzani na wananguvu sana.
Mfano, kunatetesi kuwa Masele Mbunge wa Shinyanga mjini inasemekana hakuna na CHADEMA wameisha chukua na ndo maana mbuge wa jimbo hilo alijitoa ufaamu na kumuunga mkono Lowasa waziwazi pia Selukamba nae hali ni mbaya na wengine wanaoonekana kumuunga mkono.
Naomba kumfaamu anaegombea upinzani kwa Zungu pengine ndo sababu hiyo ya kujitoa ufaamu hivyo.
Nimeuliza hivi kwa sababu ya kutaka kujua kilichomfanya jana kujitoa ufaamu na kuwasaliti wanajimbo lake watu makini na wasomi wanaoishi katika jimbo hilo na kuangukia kwenye kundi la wasaka tonge.
Lakini pia nimefanya utafiki wale Wabunge wote ambao wameonyesha kumuunga mkono wazawazi kwenye majimbo yao wana hali mbaya na hawatarudi bungeni kamwe tayari yamechukuliwa na upinzani na wananguvu sana.
Mfano, kunatetesi kuwa Masele Mbunge wa Shinyanga mjini inasemekana hakuna na CHADEMA wameisha chukua na ndo maana mbuge wa jimbo hilo alijitoa ufaamu na kumuunga mkono Lowasa waziwazi pia Selukamba nae hali ni mbaya na wengine wanaoonekana kumuunga mkono.
Naomba kumfaamu anaegombea upinzani kwa Zungu pengine ndo sababu hiyo ya kujitoa ufaamu hivyo.