Black Mamba ni chakula cha Nyegere (Honey Burger)Utakuwa humjui black mamba,
nyoka wote unaweza kucheza nao ila sio black mamba,
hanaga urafiki kabisa,
akihisi kwamba yoyote ameingia kwenye territory yake,
hakikisho la kwanza ni kukusaka hadi akupate mmalizane kwanza ndio mambo mengine yaendelee
Mkuu nahisi unahamu ya kuongeza kitu kwenye siridi ya maisha yako yani unacheza na nyoka duuhNyoka ukimuogopa lazima atakudhuru, me hua nawapenda sana kuwa chezea.Ukiwaona huko kwako nikamatie niwachunguze.
Nyegere ni habari nyingineBlack Mamba ni chakula cha Nyegere (Honey Burger)
Duh!!!,Hivi Koboko ndo Black mamba??.Utakuwa humjui black mamba,
nyoka wote unaweza kucheza nao ila sio black mamba,
hanaga urafiki kabisa,
akihisi kwamba yoyote ameingia kwenye territory yake,
hakikisho la kwanza ni kukusaka hadi akupate mmalizane kwanza ndio mambo mengine yaendelee
YesDuh!!!,Hivi Koboko ndo Black mamba??.
Nenda kamchezee na Black mamba Sasa.Nyoka ukimuogopa lazima atakudhuru, me hua nawapenda sana kuwa chezea.Ukiwaona huko kwako nikamatie niwachunguze.
Ok!!!, thanks.
Pichaongezea kwamba black mamba anaweza kusimama kwa robo 3 ya mwili wake na mkaangalia usoni!!
kiukweli ni stori tuu hakuna ukweli wa black mamba kuua kiwango hicho kwa mwaka ni very rare sana black mamba hujiepusha sana na shari sababu anajua hana uwezo wa kukumeza hivyo akiona kiumbe wakubwa hana kazi nao zaidi ya kukimbia!akikuuma ni kwa bahati mbaya alikuwa anajihami tuu.
king kobra ni mbabe zaidi labda ungempambanisha na rock python ndo saizi yake.
Hiyo ndio pointKiujumla black mamba ana sumu kali kuliko king cobra,lakini linapokuja suala la mapambano ya ana kwa ana king cobra atashinda kutokana na kuwa na body size kubwa na ni mrefu kuliko black mamba.
Kwahiyo king cobra ana uwezo wa kumuua na kummeza black mamba.king cobra ni snake eater.
Kama ikitokea kiukweli black mamba ata escape pambano kutokana na wepesi wake wa kushambulia na kijihami.
Kuna watu wanajiita wazima ila akili hazijakomaa Mkuu.ili nibidi nicheke tu maana hamna namna
Ahahah kuku huyuhuyu?Mkuu wote hao hawana lolote mbele ya kuku
Hivi huyu mdudu ana sumu gani..Yani hadhuriki na nyoka hata kidogo..namkubali snMbabe wao wote hao ni Mongoose the monster
nitajarbu siku moja nikikutana nae, kwan kifo bei gan bwana....😂😂Nenda kamchezee na Black mamba Sasa.
Sawa chifu,nenda ukakichumu kifo.nitajarbu siku moja nikikutana nae, kwan kifo bei gan bwana....
Sio kweli, black mamba sio aggressive kihivyo, shida I naanza pale anapohisi Usalama wake uko hatarini, umemkanyaga, umezuia njia ama yupo cornerd hapo ni lazima akushambulie nje na hayo hapana, aisee.Utakuwa humjui black mamba,
nyoka wote unaweza kucheza nao ila sio black mamba,
hanaga urafiki kabisa,
akihisi kwamba yoyote ameingia kwenye territory yake,
hakikisho la kwanza ni kukusaka hadi akupate mmalizane kwanza ndio mambo mengine yaendelee
Kuna kitu tuna changanya, kuna Cobra na king cobra hivi ni vitu viwili tofauti japo vina shabiiana kwa namna fulani.Cobra nimewaua sana majira ya kiangazi, nilikuwa nikimwona, anatabia ya kuvimba kichwa na kusimamia mkia..hapo ndipo humpiga na kujivingisha kwenye rungu
Ngoja waje watalamu waelezee,mie najua black mamba huitwa hongwe kwa lugha ya ki s w a hiliDuh!!!,Hivi Koboko ndo Black mamba??.
Asante kwa elimu mkuuKuna kitu tuna changanya, kuna Cobra na king cobra hivi ni vitu viwili tofauti japo vina shabiiana kwa namna fulani.
Africa hatuna king cobra, tuna cobra tu.
King cobra wapo Asia tu, na ndo nyoka mwenye umbo na urefu mkubwa kwenye kundi la nyoka wenye sumu.
King cobra aliyekomaa ana urefu hadi ft 13/14..
Sasa fikiria kitu chenye urefu huo kisimame mbele yako, kinakuwa kinakutazama kama katoto.
Kwenye battle ya king cobra na black mamba, king cobra anamaliza pambano kwa sekunde kadhaa.