Nani kiboko kati ya hawa wawili??

Nani kiboko kati ya hawa wawili??

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
406023_164097210356654_1788378967_n.jpg


Mastar wa kibongo hao nani kiboko ya mwenziwe. mkuu Boflo???????????????
 
Last edited by a moderator:
Wote hovyo. Walikosa malezi ya msingi na hivyo ni vyanguuu wa kawaida ambao hawajui hata wanachofanya zaidi ya kuishi kama hayawani. Wanapaswa kuhurumiwa. Maana wanateseka. Hali itakuwa ngumu watakapofikia umri wa utu uzima wakijikuta hawawezi kuwa na familia wala staha. Hawa faida yao ni kwamba ni somo kwa vijana wengine wanaopenda kuishi maisha ya heshima na furaha.
 
kila mmoja ameshachagua hatma ya maisha yake kwani wameshaamua kuwa wataendelea kuwa vijana maisha yote!
 
Mimi niko tofauti kidogo na mawazo yako,
unajua huu uchokoraa mademu wengi sana wanaufanya kwenye maisha ya kawaida mitaani, vyuoni etc
ila tatizo hawa ni maarufu ndio inakuwa highlighted,

wote hovyo. Walikosa malezi ya msingi na hivyo ni vyanguuu wa kawaida ambao hawajui hata wanachofanya zaidi ya kuishi kama hayawani. Wanapaswa kuhurumiwa. Maana wanateseka. Hali itakuwa ngumu watakapofikia umri wa utu uzima wakijikuta hawawezi kuwa na familia wala staha. Hawa faida yao ni kwamba ni somo kwa vijana wengine wanaopenda kuishi maisha ya heshima na furaha.
 
Kimsingi kuwa star ktk tasnia ya sanaa ni pamoja na kuwa Unique and Distinguishable among others. suala hili la watu kumuona msanii fulani ni star ni relative, kwani utakavyomuona msanii fulani kuwa ni star sivyo ambavyo kongosho anavyoweza kumgrade.

Kwa wasanii walio wengi hususani wa kike hapa bongo wao kwao kuwa star ni kuonekana umevalia mavazi fulani yatakayokuwa gumzo kwa watu na mara nyingi ni mavazi yasiyo na maadili kwa sehemu kubwa ya jamii.

Ni vema wkajifunza kuwa star kutokana na maudhui ya kazi zao. haf2006
 
Back
Top Bottom