Nani kawapa Mamlaka Vyombo Vya Ulinzi na Usalama Kung'amua Kama Maandamano ni Halali au Si Halali? Hiyo ni Kazi ya Mahakama hawapaswi kuingilia

Nani kawapa Mamlaka Vyombo Vya Ulinzi na Usalama Kung'amua Kama Maandamano ni Halali au Si Halali? Hiyo ni Kazi ya Mahakama hawapaswi kuingilia

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
3,146
Reaction score
6,008
Mkuu wa majeshi anasema Tusiingize Jeshi kwenyemambo ya kisiasa, Wakati huo anayejiita Amiri Jeshi Mkuu ni Mwanasiasa Mkuu!

Unasema Jeshi lisiingizwe kwenye siasa kabla na wakati wa uchaguzi, Ila baada ya uchaguzi una deploy wanajeshi kila kona ya nchi for what? Kulinda amani baada ya tukio la kisiasa! ambalo mlidai hamhusiki!.

Siasa ina nafasi kubwa katika uhai wa amani, usalama na utulivu wa nchi. Kusema vyombo vya usalama havihusiki na siasa katika kipindi cha kabla na wakati wa uchaguzi, Kisha baadaye kuonekana mitaani mkilinda usalama baada ya tukio la kisiasa ni unafiki wa hali ya juu na inaonesha mnatumika kwa maslahi ya wanasiasa.
 
Back
Top Bottom